Zitto Kabwe: Siwezi kukubali demokrasia isiginwe

Zitto Kabwe: Siwezi kukubali demokrasia isiginwe

Joined
Mar 13, 2016
Posts
41
Reaction score
16
Mbunge wa jimbo la KIGOMA mjini mh;zitto kabwe aliwahi kusema kwamba yeye binafsi hawezi kuona RAIS anaviza democrasi akakubali kitu hicho hakipo kama yeye atakua hai. Kutoka na na ujasi na ukakamavu wa zitto naomba aungwe mkono na wapende Democrasia nchi ili kuhakikisha zitto anashinda
 
Back
Top Bottom