Zitto Kabwe ni mfano wa viongozi wazalendo,ahudhuria matukio mawili yaliyo mikoa tofauti ndani ya siku moja

Mpangawangu

JF-Expert Member
Mar 5, 2014
887
965
Wana jamvi.
Jana ilikuwa siku ya Bunge kuujadili muswada wa vyama vya siasa.

Zitto akiwa anakabiliwa na kesi ya uchochezi iliyomlazimisha kuchagua pakuhudhuria kati ya Mahakani (Dar es Salaam)au Bungeni(Dodoma).

Wengi walitamani kumsikia kuona Zitto akihudhuria mahakamani ili kuruka mtego uliomnasa Mbowe na Matiko .

Wale ant-hoja na wanaokereka na fact za Zitto Kabwe Bungeni ,walishangilia kuona Zitto anakosekana Bungeni.

Waliamini hoja za aki na Kibajaji zitatumika kuudanganya umma juu ya ukweli kuhusu ubovu wa muswada wa vyama vya siasa.

Asubuhi yake Zitto akaonekana viwanja vya mahakamani(Kisutu).

Chakushangaza na kushtua ni pale Zitto alipoibuka ghafla Bungeni katikati mwa mjadala .

Mara pap Zitto akapewa nafasi ya kuchangia,aliyoyasema kila mmoja amesikia.

Jambo kubwa nililojifunza,Wabunge wa upinzani wapo Active sana kunapokuwepo na maswala ya kitaifa.

Huu uzalendo niwakupigiwa mfano,hii ndio aina ya wabunge wanaotakiwa kuwa majority 2020.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jamvi.

Jambo kubwa nililojifunza,Wabunge wa upinzani wapo Active sana kunapokuwepo na maswala ya kitaifa.

Huu uzalendo niwakupigiwa mfano,hii ndio aina ya wabunge wanaotakiwa kuwa majority 2020.
Mkuu Mpangawangu, nafarijika sana kwa jinsi watu wengi zaidi wanaouona uzalendo wa Zitto. Akina sisi tulimbaini kitambo na tukasema humu

Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya... - JamiiForums

Tena sio tuu ni Mzalendo bali pia ni presidential material.
P
 
Eti wabunge wa upinzani wako active sana!

Unasema wabunge wa upinzani kwa wingi halafu unataja mfano wa mbunge mmoja!

By the way, tuliambiwa na viongozi wa CHADEMA kuwa Zitto sio mpinzani.

Sema mbunge wa ACT-Wazalendo ni Mzalendo na makini na sio wabunge wa upinzani.

LINK>>>Nitasema Kweli daima fitina kwangu Mwiko: Zitto anasukumwa na mambo haya matatu katika harakati zake - JamiiForums
hii single ya analogi ishachuja kitambo ndugu.

sasa hivi ni era nyingine kabisa!
 
Kwenye Biashara ya Siasa wapo makini nawakubari sna vijana wenzetu kuchangamkia Fursa. Hkn uzalendo duniani ambao unakuja baada kunyimwa Fursa ya kula nafikiria ujasahau khs kunyimwa haki yetu kuangalia bunge live nafikiria ujasahau khs Bao la mkono Zitto na Bashe acha wapumzike usiku wa leo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jamvi.
Jana ilikuwa siku ya Bunge kuujadili muswada wa vyama vya siasa.

Zitto akiwa anakabiliwa na kesi ya uchochezi iliyomlazimisha kuchagua pakuhudhuria kati ya Mahakani (Dar es Salaam)au Bungeni(Dodoma).

Wengi walitamani kumsikia kuona Zitto akihudhuria mahakamani ili kuruka mtego uliomnasa Mbowe na Matiko .

Wale ant-hoja na wanaokereka na fact za Zitto Kabwe Bungeni ,walishangilia kuona Zitto anakosekana Bungeni.

Waliamini hoja za aki na Kibajaji zitatumika kuudanganya umma juu ya ukweli kuhusu ubovu wa muswada wa vyama vya siasa.

Asubuhi yake Zitto akaonekana viwanja vya mahakamani(Kisutu).

Chakushangaza na kushtua ni pale Zitto alipoibuka ghafla Bungeni katikati mwa mjadala .

Mara pap Zitto akapewa nafasi ya kuchangia,aliyoyasema kila mmoja amesikia.

Jambo kubwa nililojifunza,Wabunge wa upinzani wapo Active sana kunapokuwepo na maswala ya kitaifa.

Huu uzalendo niwakupigiwa mfano,hii ndio aina ya wabunge wanaotakiwa kuwa majority 2020.


Sent using Jamii Forums mobile app
Anastaili pongezi sana.
He is hero.

Imagine kama Nyerere angekataa mapendekezo ya vyama vingi mwaka 1992 leo hii tungekuwaje!?

Magu hasingekuwa rais katu.
 
Back
Top Bottom