Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,497
- 113,592
Mkuu Kada wa Chadema, it's the other way round, Chadema ndio inamuhitaji Zito kuliko yeye anavyo ihitaji Chadema.
Amini nakuambia kama asingefukuzwa, saa hii tunavyo zungumza hapa, Chadema ingekuwa Ikulu.
Wana Chadema wengi ni vipofu wa kuona mbali, mna macho lakini hamuoni! . Kwa sasa kwenye lineup yenu, hamna mtu yoyote mwenye the abilities na capabilities za kumkabili Magufuli 2020!. Jamaa yetu alijitahidi sana ile 2015 kwa kumkabili CCM na Magufuli, by that time, Magufuli was nothing!, lakini kwa 2020 Magufuli will be everything, he will be too much for him, and also his time is up, it will be too little too late, hivyo Chadema/Ukawa haina kabisa mtu zaidi ya ZZK.
Paskali.
Rejea za ZZK
Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya
Urais wa ZZK 2015 Kupitia Chadema: Kwa nini Wanatetemeka!, Kuweweseka! na Kutishika?!.
Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya wanaompinga Zitto...
Amini nakuambia kama asingefukuzwa, saa hii tunavyo zungumza hapa, Chadema ingekuwa Ikulu.
Wana Chadema wengi ni vipofu wa kuona mbali, mna macho lakini hamuoni! . Kwa sasa kwenye lineup yenu, hamna mtu yoyote mwenye the abilities na capabilities za kumkabili Magufuli 2020!. Jamaa yetu alijitahidi sana ile 2015 kwa kumkabili CCM na Magufuli, by that time, Magufuli was nothing!, lakini kwa 2020 Magufuli will be everything, he will be too much for him, and also his time is up, it will be too little too late, hivyo Chadema/Ukawa haina kabisa mtu zaidi ya ZZK.
Paskali.
Rejea za ZZK
Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya
Urais wa ZZK 2015 Kupitia Chadema: Kwa nini Wanatetemeka!, Kuweweseka! na Kutishika?!.
Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya wanaompinga Zitto...