DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mwenyekiti wa zamani wa ACT Wazalendo akiwa kwenye mkutano maalum wa kumteua mgombea urais leo Agosti 6,2025 amesema ,“Wanazuoni, watafiti, kuanzia leo waanze kushika kalamu zao, miezi mitatu inayokuja inakwenda kubadili siasa za Tanzania moja kwa moja.” – Zitto Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo.