Ni jumamosi wiki hii kwenye kufunga kampeni za udiwani kata ya Kirumba jijini Mwanza.
kwa hamu tunakusubiria future president
...mambo mengine yote yakae kando,kata ya Kirumba ni muhimu sana kurudisha mikononi mwetu Chadema...karibu Mwanza Zitto...
Nimetokea tu kumchukia ghafla huyu jamaa kutokana na kujikweza kwake
Unapenda kuudhi watu kweli kweli ! wewe nawe.......!
CCM wataipata fresh......! Nipo Mwanza inabidi tuwapange vyema vijana.CCM wanapanga njama kutumia green guard kuziba ombwe lililojitokeza la hoja majukwaani.wanataka kutumia vitisho.Watakoma kuweka mgombea udiwani safari hii
Chuki hazisaidii.......Toa elimu ya uraia popote ulipo.Tafuta muongozo wa kiroho kutoka kwa viongozi wako wa kiroho,fuata ushauri wa wataalamu wa saikolojia ikiwezekana.Chuki zina athari sana kwa afya ya mwanadamu
Freeland,Just be free,be good.Truth will set you Free(the essence and legacy of your name)
Mkuu wangu Mimi mjadala wa Zitto nilishaachana nao hauna tija kwangu wala kwa Taifa.....but/lakini think loud hivi Zitto humu kwenye mitandao kushabikiwa na Pro CCM huoni kwamba ni jambo linalombomowa kuliko kumjenga? hivi kuna mwana CCM kweli anayempenda mtu yeyote wa Opposition? hizi ni changamoto ambazo Zitto anapaswa kushughulika nazo.
Waangalie kwa makini Members wote humu wanaoiponda Chadema likifika swala la Urais wanamshabikia Zitto, hapa kwa maoni yangu anayebomolewa ni Zitto kuonekana he is not threat kwa CCM, bali CCM wanamuogopa kupita kiasi Dr Slaa kiasi kwamba ni faraja kwao kusikia mtu mwingine akitangaza nia. sijaibuwa mjadala kuleta malumbano bali hii ni Alert kwamba msicheke na kuintatain maadui.
itakuwa uwanja gani wakuu.tunahamu ya kumsikiliza kamanda wa ukweli.keshasema hoja ya uraisi ni ndoto yake.kama ambavyo mtu yeyote ana ndoto ya kuwa mtu fulani ndani ya jamii.mm nina ndoto ya kuwa governor wa bot, ww sijui una ndoto gan? so kwa mtazamo huu tumuachen na tumtakie kila heri
Kaka kama ungebahatika kuwaona JOTI na Masanja Mkandamizaji wanavyopokewa huko mwanza basi si jambo la kushangaza kwa Mwanasiasa Maarufu kama Zitto kuvuta watu wa kumlaki, hili ni jambo la kawaida sana kwa kila mtu maarufu kwenye sekta yake.dunia hii bana.....hakuna demokrasia ya kweli kabisa, huru na safi kama emotion! watu wako tayari kupigana vikumbo mwanza kumuona 'future presdent'..wengine wako tayari kuumia ili wasalimiane naye tu!
whoever says politics is not a game was wrong!! it is a game...
1. Jackon MichaelMatola taja pro-ccm watatu tu humu wanaomshabikia Zito yatosha!!
Senior Member Array