Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,970
Sema unazikubali sera za Chadema na siyo sera za Zitto......unapaswa kusema namkubali Zitto kwa uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja na kuzisimamia na kuzinadi vyema sera za CHADEMA.huyo mtu mwacheni kama halivyo, sera zake nazikubali sana,namtakia kila laheli jiji MWANZA.