Sema unazikubali sera za Chadema na siyo sera za Zitto......unapaswa kusema namkubali Zitto kwa uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja na kuzisimamia na kuzinadi vyema sera za CHADEMA.
kabla ya kunipinga au kukubaliana na hoja zangu pitia kwanza mabandiko yao Agaist Chadema, halafu angalia wanavyogeuka vinyonga linapokuja swala la Zitto Kabwe.
Nayaongea haya kwa nia njema kabisa maana sijaumbwa na unafki na nitasimamia kweli na kile ninachokiamini siku zote.
Kaka kama ungebahatika kuwaona JOTI na Masanja Mkandamizaji wanavyopokewa huko mwanza basi si jambo la kushangaza kwa Mwanasiasa Maarufu kama Zitto kuvuta watu wa kumlaki, hili ni jambo la kawaida sana kwa kila mtu maarufu kwenye sekta yake.
Ngoja nikutafutie video ya Mr Nice uone alivyopokewa Kigari utadhani ni Rais wa nchi fulani ameingia, au Kakobe ndani ya Lusaka na Lubumbashi.
Join Date : 22nd March 2012
Posts : 105
Rep Power : 322
Likes Received22Likes Given2
HALI TETE ARUMERU: wafuasi wa CDM wafanya fujo mikutano ya CCM, Polisi yawashughulikia!
Haya hapa chini ni maneno ya Jackson Michael shabiki wa Zitto ambaye anaichukia CHADEMA hivi!!
Kamanda wa ukweli wa FFU (USO MBUZI) akitazama mfuasi wa CDM Kalisti Lazaro akiingia kwenye gari la polisi baada ya kuvamia mkutano wa CCM eneo la Ngaresero."
Ndio maana hapa chini nimesema hivi:
kabla ya kunipinga au kukubaliana na hoja zangu pitia kwanza mabandiko yao Agaist Chadema, halafu angalia wanavyogeuka vinyonga linapokuja swala la Zitto Kabwe.
Nayaongea haya kwa nia njema kabisa maana sijaumbwa na unafki na nitasimamia kweli na kile ninachokiamini siku zote.
Waberoya mimi sina kadi ya CHADEMA for Ur information, ila mimi ni msaada mkubwa sana kwa CHADEMA kuliko wanachama wengi tu na viongozi wa CHADEMA.
Kuwa mwanachama ni jambo lingine na kukisaidia chama ni jambo lingine zaidi, ndio maana Simba na Yanga zina mashabiki na wapenzi kuliko wanachama, nadhani mfano mzuri unauona kwa JAFARY SABODO, sasa mimi kwa level yangu na katika eneo langu ni Jafary Sabodo, ndio maana huwa naumia sana kuona chama tunachokisaidia hali na mali wanachama wake wanataka kutukatisha tamaa.
Join Date : 22nd March 2012
Posts : 105
Rep Power : 322
Likes Received22Likes Given2
HALI TETE ARUMERU: wafuasi wa CDM wafanya fujo mikutano ya CCM, Polisi yawashughulikia!
Haya hapa chini ni maneno ya Jackson Michael shabiki wa Zitto ambaye anaichukia CHADEMA hivi!!
Kamanda wa ukweli wa FFU (USO MBUZI) akitazama mfuasi wa CDM Kalisti Lazaro akiingia kwenye gari la polisi baada ya kuvamia mkutano wa CCM eneo la Ngaresero."
Ndio maana hapa chini nimesema hivi:
kabla ya kunipinga au kukubaliana na hoja zangu pitia kwanza mabandiko yao Agaist Chadema, halafu angalia wanavyogeuka vinyonga linapokuja swala la Zitto Kabwe.
Nayaongea haya kwa nia njema kabisa maana sijaumbwa na unafki na nitasimamia kweli na kile ninachokiamini siku zote.
Zitto ni kijana anayetumiwa sn na ccm ila bahati mbaya wamemshauri vibaya walipomwambia aropoke kuhusu urais......kumbukeni zitto alivyo wageuka watz kuhusu mitambo ya dowans sitaki kukumbuka kuwa ni zitto alikubali kutetea uozo aliokuwa anaupinga ndani ya wiki moja..............kweli siku hizi kila mwanasiasa wakiwemo baadhi ya vijana km zitto wanafikiri watz bado ni wavivu wa kufikiri km mzee wa migodo ben mkapa alivyowahi kusema?.......hukumu yake ipo.
Mkuu wangu Mimi mjadala wa Zitto nilishaachana nao hauna tija kwangu wala kwa Taifa.....but/lakini think loud hivi Zitto humu kwenye mitandao kushabikiwa na Pro CCM huoni kwamba ni jambo linalombomowa kuliko kumjenga? hivi kuna mwana CCM kweli anayempenda mtu yeyote wa Opposition? hizi ni changamoto ambazo Zitto anapaswa kushughulika nazo.
Waangalie kwa makini Members wote humu wanaoiponda Chadema likifika swala la Urais wanamshabikia Zitto, hapa kwa maoni yangu anayebomolewa ni Zitto kuonekana he is not threat kwa CCM, bali CCM wanamuogopa kupita kiasi Dr Slaa kiasi kwamba ni faraja kwao kusikia mtu mwingine akitangaza nia. sijaibuwa mjadala kuleta malumbano bali hii ni Alert kwamba msicheke na kuintatain maadui.
Mkuu uusiumizwe kichwa na na hao watu wa ccm na Ndugu Nyepesi Kabwela,siku zote majambazi na wezi wa haki za umma hujenga urafiki na ppolisi ambae wanajua hawezi kuwakamata,wapo tayari hata kumpatia mshahara wa ziada na kumpigania apandishwe cheo na hawataacha kumpigia makofi na kumtetea mtu wao kwa kutumia vibaraka wao kwani wanajua nyuma ya pazia watashirikiana nae kwa mengi ya kichefuchefu na wala hawawezi kuchefuana zaidi ya kuteteana huku wakiwabomboa wale waliobora na tishio kwao kwa kila mbinu!!! Kwa nini ndugu Nyepesi asivimbe kichwa wakati anajua anao maproducers na back vocals wa kutosha tu kwenye nyimbo anazoambiwa aimbe??!!!
Kwa nini anautaka urais? Watanzania hatutaki mtu anayeutaka urais hata ingekuwa 2050 kwani ana mpango mbaya na sisi acha tumtafute Raia mwadilifu anayetufaa...
Ipo siku huyu dogo wenu wata wata mchana live hadi ataenda kukaa ujerumani kwa miaka kama ilivyotokea alipotaka Umwenyekiti.
Mtu wa fitina utamjua tu, yuko na timu yake ile ile, na kamharibia Kafulila wa watu...
Sema unazikubali sera za Chadema na siyo sera za Zitto......unapaswa kusema namkubali Zitto kwa uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja na kuzisimamia na kuzinadi vyema sera za CHADEMA.
Mkuu wangu Mimi mjadala wa Zitto nilishaachana nao hauna tija kwangu wala kwa Taifa.....but/lakini think loud hivi Zitto humu kwenye mitandao kushabikiwa na Pro CCM huoni kwamba ni jambo linalombomowa kuliko kumjenga? hivi kuna mwana CCM kweli anayempenda mtu yeyote wa Opposition? hizi ni changamoto ambazo Zitto anapaswa kushughulika nazo.
Waangalie kwa makini Members wote humu wanaoiponda Chadema likifika swala la Urais wanamshabikia Zitto, hapa kwa maoni yangu anayebomolewa ni Zitto kuonekana he is not threat kwa CCM, bali CCM wanamuogopa kupita kiasi Dr Slaa kiasi kwamba ni faraja kwao kusikia mtu mwingine akitangaza nia. sijaibuwa mjadala kuleta malumbano bali hii ni Alert kwamba msicheke na kuintatain maadui.
Unapenda kuudhi watu kweli kweli ! wewe nawe.......!
CCM wataipata fresh......! Nipo Mwanza inabidi tuwapange vyema vijana.CCM wanapanga njama kutumia green guard kuziba ombwe lililojitokeza la hoja majukwaani.wanataka kutumia vitisho.Watakoma kuweka mgombea udiwani safari hii
Chuki hazisaidii.......Toa elimu ya uraia popote ulipo.Tafuta muongozo wa kiroho kutoka kwa viongozi wako wa kiroho,fuata ushauri wa wataalamu wa saikolojia ikiwezekana.Chuki zina athari sana kwa afya ya mwanadamu
Freeland,Just be free,be good.Truth will set you Free(the essence and legacy of your name)
Ndio Ben, tupe hali halisi maana sisi ambao hatuna vyama tunaona mabadiliko ni jambo muhimu ili kumwambia mfalme achangamke kushughulikia matatizo yetu
Kwa nini anautaka urais? Watanzania hatutaki mtu anayeutaka urais hata ingekuwa 2050 kwani ana mpango mbaya na sisi acha tumtafute Raia mwadilifu anayetufaa...
Ipo siku huyu dogo wenu wata wata mchana live hadi ataenda kukaa ujerumani kwa miaka kama ilivyotokea alipotaka Umwenyekiti.
Mtu wa fitina utamjua tu, yuko na timu yake ile ile, na kamharibia Kafulila wa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.