Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe katika andiko lake katika mtandao wa X siku ya Jumapili, Julai 6, 2025.
"Watanzania wameichoka CCM. Watanzania wanataka mabadiliko. Kususia uchaguzi ni kuwapa CCM ushindi kiulaini. Kuiacha CCM peke yake kulidhibiti Bunge ni kulikosea Taifa. Tunaweza kurejesha thamani ya kura zetu. Oktoba LindaKura"
"Watanzania wameichoka CCM. Watanzania wanataka mabadiliko. Kususia uchaguzi ni kuwapa CCM ushindi kiulaini. Kuiacha CCM peke yake kulidhibiti Bunge ni kulikosea Taifa. Tunaweza kurejesha thamani ya kura zetu. Oktoba LindaKura"