Mr Mav
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 445
- 154
Kutenda kosa sio kosaWaTz wangapi walikufa kwa njaa tangu Tz ipate Uhuru.....Acha uvivu
Kutenda kosa sio kosaWaTz wangapi walikufa kwa njaa tangu Tz ipate Uhuru.....Acha uvivu
Wanaubavu wa kurudi kwenye uchaguKabla hawajamuazimia anavunja bunge
Siku mnapeleka hoja hiyo Magufuli anaweza kulivunja bunge na makrudi majimboni kujitafakari upya....Ni wakati wa watanzania kumuunga mkono zitto na wapinzani wote kumg'oa huyu dikteta uchwara madarakani
Naunga mkono kwa asilimia 100%
Zitto hili likifanikiwa utabarikiwa sana na mungu haya,mateso tunayopata watanzania yataisha
Mungu awatangulie ni wakati wa kusimama pamoja
mwacheni jamani si kwa utashi wake amesema anataka kuidondosha serikariyangu macho......akamulize kolimba....mmanda huyu....alicho kupata......rip
Kafuta Ufisadi Kwa Kuiba 2.7 Billions na Kuwahonga wabunge wa CCM milion 10 Kila Mmoja kuna Ufisadi zaidi ya huo.Ivi raisi aliefuta ufisadi mchini na kuleta usawa bado watanzania mnampinga???
Mnataka ufisadi urudi au???
Tatizo watanzania wengi wamejaliwa na sifa binafsi na si kuliweka taifa mbele