WASHE
JF-Expert Member
- Jan 9, 2017
- 746
- 394
Tatizo ni mnafiki sana huyu jamaa anatafuta umarufu kwa kulazimisha, badala ya kuhangaika na chama chake anahangaika na maguDuh!Jamaa ana maadui wengi.
Tatizo ni mnafiki sana huyu jamaa anatafuta umarufu kwa kulazimisha, badala ya kuhangaika na chama chake anahangaika na maguDuh!Jamaa ana maadui wengi.
Ningeshangaa usingeandikaSafi sana watakubeza lakini utakuwa umeandika historia yenye heshima na uzalendo.
Hii hatua imechelewa sana.
Tumezidi kulalamika tu bila kuonyesha uthubutu ndio maana tumefika hapa tulipo.Matamko juu ya matamko wameshayazoea.It is enough.
Najua hoja haitapita ila ujumbe utakuwa umefika na historia itakuwa imeandikwa.
Hv Bado unaishi ile kauli ya ulipo tupoNingeshangaa usingeandika
MAHAKAMA YA MAFISADI imeundwa kuwa mapambo ya Ikulu au kushughulikia mafisadi? Sasa kwa nini hao Mafisadi wa Richmond waliofukuzwa CCM wasifikishwe mbele ya mahakama hiyo badala ya kuachwa na sasa 'wanamtumia Zitto kuidhoofisha Serikali kwny Maoambano yake dhidi ua ufisadi'?
Wewe tu!!Huyu Zitto nae tumeshamchoka sasa
Mhhh sio kweli bali mafisadi tulio baki nao huku CCM kama JK, Karamagi,Ben,Rostam,Mkono etc mafisadi hawa watupishe kabisa ...wanamtumia sana Kabwe kuonyesha ukweliMafisadi wa Richmond waliofukuzwa CCM wanamtumia Zitto kuidhoofisha Serikal kwny Mapambano yake dhidi ya Ufisadi
Chuki zako, anaongelea katiba wewe unasema chadema. Yaani kama haujaelewa kaa kimy tu.Asijaribu kuitisha hiyo kura hata nyumbani kwake maana atapata aibu ya mwaka! Zito amepoteza moral authority ya kuhoji lolote tokea anganganie uwenyekiti chadema na kwenda kuanzisha chama chake!
Ameonesha kua yeye ni mwanasiasa mbinafsi na mjivuni sana asiyetaka kuwa chini ya mtu yoyote!
Tabia hiyo anataka kuleta katika jamii ya Kitanzania iliyostaarabika!
Zito ni wa kuogopwa na kupingwa kwa nguvu zote!
Lazima umuone mbaya na kitambi chako hichoHuyu ngombe tusipomtoa saaizi hata dunia itatushangaa....
He is supposed to go to hell
Ukisoma vizuri hili post utagundua hatua hii ya Zitto bado ni conditional kutegemea na jinsi serikali itakavyo-handle issue ya uhaba wa chakula katika siku zijazo.Ivi raisi aliefuta ufisadi mchini na kuleta usawa bado watanzania mnampinga???
Mnataka ufisadi urudi au???
Tatizo watanzania wengi wamejaliwa na sifa binafsi na si kuliweka taifa mbele
Jambo moja ni muhimu sana, Rais anapaswa kujua kuwa anafanya kazi kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Na Katiba imetoa wajibu wa lazima kwa Serikali kulinda watu. Ndio kazi ya Serikali – kulinda wananchi pale ambapo yanatokea majanga ambayo yanazidi kimo wananchi hao.
Tunamwambia Rais kwamba, Mtanzania yeyote akifa kwa njaa kwa sababu Serikali imeshindwa kutekeleza wajibu wake Watanzania tutapaswa kuchukua hatua, Katiba inatulazimisha kumtoa Rais madarakani ikiwa yeye na Serikali yake watashindwa kutimiza wajibu wake wa kulinda uhai wa raia wake.
Tunamkumbusha Rais kuwa yeye sio mungu mtu. Yupo chini ya Katiba na kwa idadi ya wabunge wa upinzani waliopo Bungeni, na wakiamua kusimama na wananchi na kulinda Katiba, Rais wa sasa atakuwa Rais wa kwanza wa nchi yetu kutolewa hoja ya kutokuwa na imani naye bungeni. Katiba inahitaji asilimia 20 tu ya wabunge kuwasilisha hoja hiyo bungeni.
Ninatoa wito kwa Watanzania wote nchini, bila kujali vyama vyao, kuweka rekodi ya hali ya chakula popote walipo na kuweka takwimu ya maafa yeyote yanayotokana na njaa. Mtanzania yeyote akifa kwa njaa ni lazima tuchukue jukumu la kumwajibisha Rais kwa kusema waziwazi kwamba hajatimiza wajibu wake kama Mkuu wa Serikali kulinda wananchi wake.
Tunamkumbusha Rais kwamba kwa mujibu wa ibara ya 46A ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambayo yeye amekula kiapo kuilinda, kuihifadhi na kuitetea, Bunge laweza kumshataki yeye Rais kwa kosa la mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais.
Wananchi wanaona lugha za ubabe, vitisho, kuonea watu, kudhihaki waliopatwa na majanga kwamba ni mambo yanayodhalilisha kiti cha Rais.
Hivyo Rais achague maneno ya kusema mbele ya wananchi wake, atumie lugha ya kujenga matumaini badala ya kujenga hofu kwenye jamii, aache kuonea watu kwa kutumia madaraka yake, na akumbuke cheo ni dhamana.
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo
Kijichi - Dar es salaam
Januari 15, 2017