johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,141
Zamani kipimo cha Uzalendo ilikuwa ni Pamoja na kushiriki Mafunzo ya JKT miezi 9 au Mgambo miezi 3
Kadhalika ili kuwa mwanachama wa CCM ililazimu kuingia darasani kwa miezi 3
Panahitajika Wasomi Wazalendo katika Hili swala la kutoa Elimu ya Mkataba wa Bandari na DP World
Ndio nikawakumbuka Wanasiasa Watatu walioenda Jeshini JKT wakiwa Watu wazima Ili kunoa Uzalendo wao hawa si wengine bali Zitto Kabwe ( ACT Wazalendo), Halima Mdee ( Chadema) na Dr Kigwangalla ( CCM)
Tupo katikati ya safari Tulikotoka ni mbali na tunakoenda hatukujui
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
Kadhalika ili kuwa mwanachama wa CCM ililazimu kuingia darasani kwa miezi 3
Panahitajika Wasomi Wazalendo katika Hili swala la kutoa Elimu ya Mkataba wa Bandari na DP World
Ndio nikawakumbuka Wanasiasa Watatu walioenda Jeshini JKT wakiwa Watu wazima Ili kunoa Uzalendo wao hawa si wengine bali Zitto Kabwe ( ACT Wazalendo), Halima Mdee ( Chadema) na Dr Kigwangalla ( CCM)
Tupo katikati ya safari Tulikotoka ni mbali na tunakoenda hatukujui
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!