Nakumbuka baadhi ya harakati zilizoko ni hizi ambazo si haba hata kidogo!!
1. Arumeru Mashariki Arusha - Ubunge
2. Kirumba Mwanza - Udiwani
3. Kiwila, Mbeya - Udiwani
4. Dodoma - Udiwani ( sikumbuki jina la kata)
5. Songea - Udiwani (Sikumbuki jina la kata)
6. Kigamboni, Temeke Dar es salaam - Udiwani ( sikumbuki pia jina la kata)