FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,182
hajaula, bali kaongezewa majuku ambayo yatakuwa mazito. kazi ya jimbo, chama, kamati ya mashirika ya umma vinamtosha na tayari vimekuwa vingi. tunahitaji viongozi wawajibikaji, ukiwa na majuku mengi, kutatokea conflict of interest. Namshauri Zitto, aachie ngazi hiyo, abaki kuwa mwanasiasa
Ukitaka kazi yako ifanyike mpe mtu aliye bize ("busy") na ukitaka kazi yako isifanyike mpe mtu aliye "idle".