Hongera sana Zitto Zuberi Kabwe kwa kupeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa,nimekubali ule msemo wa dhahabu ili iitwe dhahabu lazima ipite kwenye moto ili kung'arishwa.
Zitto ni sawa na gogo la udi,kila ukilichoma ndivyo limavyozidi kunukia,go Zitto go,go,wanyonge tunaimani kubwa na wewe na tupo tayari kukulinda na hila za mabepari .
Your the full bright politician of Africa.