Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

Zitto inabid awe ana change magar mara kwa mara..Asitembelee gar..moja zaid ya siku mbili
 
Asiwe na wasiwasi, ule walaka kutoka usikochi uliofichua kitengo ndani ya kitengo sasa Mkuu wa kitengo hicho kawa ras wa mkoa uliochoka
 
Namuamini Zito yupo imara km Jiwe, akifa mjue ndo siku yake imefika, hivi hivi si MTU wa mchezomchezo
 
Hivi kupika data Na takwimu za uongo vinaisaidia nini serikali? Je vina athari gani?

Athari za kupika data ni nyingi,moja wapo ni kama investors ama users wengine wa hizi data wakizitumia kufanya investment decisions then wata end up na wrong decision katika investment zao, pia watz hawatakua na data za uhakika za ukuaji wa uchumi hili ni janga la kitaifa
 
KILE KICHWA CHA KIGOMA MWISHO WA RELI AKUNA WAKU MGUSA YULE BWANA NAAMBIWA NIMKUBWA WA WA CHAWI BONGO SASA MTU AJICHANGANYE
 
Kwa joto aliloliachilia CAG kwa wala NCHI nahisi ujio wa Mabadiliko makubwa ya sheria ili kumng'oa MENO Mkaguzi
 
Umeandika kwa uchungu mno.
Inasikitisha sana
 
Kama anaitafuta pepo kwa dhati,mbona hatukuona ukaguzi wa manunuzi nna mahesabu ya bomba-dear?
 
Yan
Yani Mkuu hili jiwe sijui kwanini isitokee gafla paap awe kama Masogange alivyo sasa ivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…