Hatua ile Zitto alikuwa amechoka......karibia siku kadhaa bila usingizi ukitumia akili kwa kiwango kile na bunge kuendeshwa kwa muda mrefu namna ile lazima akili ifike mwisho......otherwise amefanya kazi nzuri mno.......
kwa namna escrow ilivoleta mafanikio kwa kijana zzk hakika chadema haina budi kumrudisha kundini na imethibitika tu pale baba wa zito kisiasa mh mbowe alipoona mwanae anasema akil imechoka bila hayana alisimama na kumpigania jahaz lisizame welcom home again mh zito its cdm mzee
Hili liko wazi sana, alivyosimama Chenge nilimuona at that time alipewa muda wa kuongea Wenje then baadae akaja Chenge akaongea aliyoyaongea ngoma ikasapotiwa kiCCM then zitto akamaliza short n'clear.
Kuanzia mwanzo wabunge wa CCM walikuwa wanakataa katibu mkuu kujiuzulu ili mambo mengine yaendelee sasa alichoongea Chenge na kikakubalika kiCCM ndiyo hichohicho kingeendelea kwa Sos, Werema na Pinda.
Zitto akaona huu ni ujinga kumbe waizi wanateteana mpaka bungeni, wacha wateteane