wewe ndiye aliyevulunda kabisaaa, nguvu nyingi kumbe pumb, la udini linakujaje hapa, kama ni udini angalia Dr. Slaa alivyopokelewa hapo zenj. umaarufu ni chama chenyewe sio mtu binafsi.
Kwanini na wewe ukiitwa Changudoa unakaumia sana????
Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.
Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.
Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.
Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.
Kubwa jinga lingine hili! Acha Ukunguru wa kifa.ra
The other day nilikuita mpumbavu ukasema nakutukana. Hivi kwa akili ndogo tu, kama Zitto ndio anaibeba CHADEMA na unaamini hivyo, inawezekanaje CHADEMA imburuze Zitto badala ya Zitto kuiburuza CHADEMA?
Nafikiri ni ule ujinga wa Kiarabu ndio unawasumbua. (mlituambia kuwa Gadafi aliwasomesha walibya bure mpk chuo kikuu at the same time mkalalama kuwa walibya wanarubuniwa na Marekani: wamesoma na bado hawana akili!!!!!!!!) Wewe kama unajua Zitto ni madhubuti basi huwezi kuwa wakili wake. Kama kuna baya analofanyiwa na atalisimamia.
Halafu kumbe unajua ni bunge letu, ww shida yako nini? Kama ulikimbia challenges za maisha ukaona ukawe mamsap wa mtu huko uarabuni, basi mambo ya Bongo waachie wenye Ubongo
Tumshauri Zitto ajiunge na chama cha CUF maana ndio chama cha dini yake, hata Mtatilo amepewa cheo kwa ajili ya ile sigida yake.
Tunashukuru sana kwa ufafanuzi wako murua..
Kumbe Chadema ni chama cha Wakiristo watupu! Ndio maana tumeona Mbunge wa Iringa Mjini ni Mchungaji Peter Msingwa.
Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Yohana Natse.
Mgombea Urais Padre W. Slaa.
Tunashukuru sana kwa ufafanuzi wako murua..
Kumbe Chadema ni chama cha Wakiristo watupu! Ndio maana tumeona Mbunge wa Iringa Mjini ni Mchungaji Peter Msingwa.
Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Yohana Natse.
Mgombea Urais Padre W. Slaa.
Kuhesabu viongozi kwa hisia za udini ni hatari na hasa tukiamua kupita kila chama kwa kutumia kanuni yako tutajikuta tunaipeleka nchi kusiko.
Tunashukuru sana kwa ufafanuzi wako murua..
Kumbe Chadema ni chama cha Wakiristo watupu! Ndio maana tumeona Mbunge wa Iringa Mjini ni Mchungaji Peter Msingwa.
Mbunge wa Karatu Mchungaji Israel Yohana Natse.
Mgombea Urais Padre W. Slaa.
Nilisoma gazeti la mwanahalisi la Jana na kuona jinsi Chadema ilivyojibu hoja ya Mh zitto Kuhusu Chanzo cha mazungumzo ya CHADEMA na rais JK.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya Chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa Chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na Chama.
Lakini uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.tayari ztto alitoa makala kuhusu Uhusiano wake na Uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii
Kuhesabu viongozi kwa hisia za udini ni hatari na hasa tukiamua kupita kila chama kwa kutumia kanuni yako tutajikuta tunaipeleka nchi kusiko.