DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amezindua rasmi kampeni za ubunge na udiwani kwa chama hicho katika mkoa mzima wa Kigoma.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Zitto amesisitiza dhamira yake ya kupigania haki za kiraia kwa wazawa wa Kigoma.
Mbali na Zitto, uzinduzi huo pia umehudhuriwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Kiza Mayeye ambaye ameahidi kutetea maslahi ya wavuvi pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na nafuu za afya endapo wabunge wa ACT Wazalendo watapewa nafasi ya kuwatumikia wananchi.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Zitto amesisitiza dhamira yake ya kupigania haki za kiraia kwa wazawa wa Kigoma.
Mbali na Zitto, uzinduzi huo pia umehudhuriwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Kiza Mayeye ambaye ameahidi kutetea maslahi ya wavuvi pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na nafuu za afya endapo wabunge wa ACT Wazalendo watapewa nafasi ya kuwatumikia wananchi.