Hivi ile mahakama ya mafisadi (tena jengo lake lipo) inafanyakazi? Au Magu alitafakari na kukumbuka aliyoyafanya naye kupaswa kufikishwa kwenye ule mjengo kwa makosa aliyotenda kabla ya kuwa raisWabunge wenye kesi za kisiasa ( uchochezi ) mahakamani mpaka sasa
Wenye Kesi kwa ujumla
1. Freeman Mbowe
2. Zitto Kabwe
3. Tundu Lissu
4. Selemani Bungara ( Bwege )
5. Esther Matiko
6. Esther Bulaya
7. John Mnyika
8. Godbless Lema
9. John Heche
10. Cecil D Mwambe
11. Halima Mdee
12. Zubeda Sakuru
13. Rev. Peter Msigwa
14. Susan Kiwanga
15. Peter Lijualikali
16. Pascal Haonga
17. Frank Mwakajoka
18.
Walio rumande
1. Freeman Mbowe
2. Esther Matiko
3. Susan Kiwanga
4. Peter Lijualikali
Waliokwisha fungwa
1. Joseph Mbilinyi
2. Peter Lijualikali
Waliopigwa risasi
1. Tundu Lissu
Aliye na idadi ya mafisadi waliofungwa aitaje then tujue anapambana na ufisadi au upinzani
Tuhuma ya lowassa ilikuwa ni kuvunja mkataba na kampuni ya city water,alishasafishika baada ya kushinda kesi mahakamani
crap@!Hajatoa orodha ya wafungwa wa kisiasa aliyoipeleka Umoja wa Ulaya?
Siyo Richmond tena?Tuhuma ya lowassa ilikuwa ni kuvunja mkataba na kampuni ya city water,alishasafishika baada ya kushinda kesi mahakamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama nataka kushawishika kuamini hiki usemacho! Maanake hata NENO uzalendo, hope na lenyewe lina maana tofauti na ile tunayo ijua
Endelea kuishi kwa hisia!Nimekuuliza mara nyimngi juu ya jina lako na lile la Zitto. Nikiangalia mitambo ni wewe huyo huyo. Kwani ukitumia jina la Zitto lina mkosi? Haya! Zitto tangu lini akawa mwema wa nchi hii na kutusaidia kiuchumi? Uchumi wa internet na kuiga mijadala ya EFF?
Tatizo la upinzani ni ufahamu mdogo! Model ktk upinzani ni Slaa. Alijaa hekima, busara, reasoning, gauging man, nk. Alizungumza maendeleo na sera siyo matusi yenu. Alipiga vita ufisadi kwa vitendo, siyo ninyi munaokesha na skendo za upigaji.
Nimekuuliza mara nyimngi juu ya jina lako na lile la Zitto. Nikiangalia mitambo ni wewe huyo huyo. Kwani ukitumia jina la Zitto lina mkosi? Haya! Zitto tangu lini akawa mwema wa nchi hii na kutusaidia kiuchumi? Uchumi wa internet na kuiga mijadala ya EFF?
Tatizo la upinzani ni ufahamu mdogo! Model ktk upinzani ni Slaa. Alijaa hekima, busara, reasoning, gauging man, nk. Alizungumza maendeleo na sera siyo matusi yenu. Alipiga vita ufisadi kwa vitendo, siyo ninyi munaokesha na skendo za upigaji.
Afazali Lowasa. Kesi hizi na mauaji pamoja na utekaji usinge fikia kiwango hiki.Mzee kiona mbali Kingunge alituusia: "Msimpeleke Ikulu MNYAMPARA". Maneno yake yanasadifu hivi sasa. Bahati mbaya hatukuwana choice nyingine. Lowasa hakufaa vile vile. Natamani kuwe na mgombea binafsi.
Wewe kiazi cha Magogoni.Wewe, aliyeshea na aliyetoa huo uchafu sin hakika kama mnawaza na kuwazua vyema!!!
Hata kama hampendi Magufuli naomba muwe na hekima na busara msifanye haya mambo kisiasa tena siasa za maji taka!!
Unaona fahari sana kutajwa kisiasa hao wabunge ati walitaka kuuawa na huyo mpinzani asiyejielewa jimboni kwake wananchi wanalia yeye anajenga bifu la hovyo naww unakuja kuunga mkono upuuzi!! Pia uwe na utumizi mzuri wa maneno!!! Neno ripoti kwa muktadha huo halijatendewa haki!!! Hakuna ripoti ya namna hyo
Jaribuni kutafuta mbinu nyingine za ku win lawama za kijinga hazitawasaidia matokeo yake mtaugua presha na stress za hovyo kwani mnayoyasema hayapo na bado Rais 2020 ni Magufuli!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko wapi? Ameungana nao.Nimekuuliza mara nyimngi juu ya jina lako na lile la Zitto. Nikiangalia mitambo ni wewe huyo huyo. Kwani ukitumia jina la Zitto lina mkosi? Haya! Zitto tangu lini akawa mwema wa nchi hii na kutusaidia kiuchumi? Uchumi wa internet na kuiga mijadala ya EFF?
Tatizo la upinzani ni ufahamu mdogo! Model ktk upinzani ni Slaa. Alijaa hekima, busara, reasoning, gauging man, nk. Alizungumza maendeleo na sera siyo matusi yenu. Alipiga vita ufisadi kwa vitendo, siyo ninyi munaokesha na skendo za upigaji.
Wabunge wa ccm waliofanyaje ?, nijuavyo mimi hakuna mbunge hata mmoja wa ccm aliyewahi kushitakiwa, kama mkurugenzi wa Itigi ameua mchana kweupe mpaka leo hii bado yuko ofisini, na kesi yake inaendesha kisaniikama vile hajaua, eti ushahidiKesi haichagui chama - toa na orodha ya wabunge wa CCM