ADAMU.
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 202
- 70
Kulikuwa na mgomo ktk barabara kuuu itokayo DSM kwenda mikoa ya kusini ktk eneo tajwa
Mgomo huu uliochagizwa na ajali za kila mara ktk eneo tajwa
wananchi wakaamua kufunga barabara kuzuia magari yote yatokayo Lindi,mtwara na Ruvuma
Kadhaalika na magari yatokayo DSM
Zitto akiwa ktk safari zake naye akitoka kusini
Ilimlazimu kutoa fungu la pesa kusuluhisha hitaji la wananchi(kufanya marekebisho ktk eneo lile)
Ikawa sabab ya kumalizwa kwa tatizo....
Alichokifanya ni ktk uungwana hakuna ambaye angetambua kuwa ktk magari Yale kuna zitto Kabwe ndanimwe
Nilivutiwa namna alivyokuwa akijizoazoa toka ktk gari huku akiwaaga washirika wa safari yake "wacha tukasikize matatizo ya wananchi "
mkononi tayari ana fungu la pesa baada ya kutambua hitaji la husika
"Amepanda hakika atalipwa kwa dhamira yake"
Mgomo huu uliochagizwa na ajali za kila mara ktk eneo tajwa
wananchi wakaamua kufunga barabara kuzuia magari yote yatokayo Lindi,mtwara na Ruvuma
Kadhaalika na magari yatokayo DSM
Zitto akiwa ktk safari zake naye akitoka kusini
Ilimlazimu kutoa fungu la pesa kusuluhisha hitaji la wananchi(kufanya marekebisho ktk eneo lile)
Ikawa sabab ya kumalizwa kwa tatizo....
Alichokifanya ni ktk uungwana hakuna ambaye angetambua kuwa ktk magari Yale kuna zitto Kabwe ndanimwe
Nilivutiwa namna alivyokuwa akijizoazoa toka ktk gari huku akiwaaga washirika wa safari yake "wacha tukasikize matatizo ya wananchi "
mkononi tayari ana fungu la pesa baada ya kutambua hitaji la husika
"Amepanda hakika atalipwa kwa dhamira yake"