Teh teh teh..hebu tueleze, Slaa ana sera gani mpya zaidi ya kuongelea ufisadi kila kukicha???Naunga mkono hoja.Isipokuwa natoa angalizo mapema kwamba kumpambanisha Dr Slaa na Kinana ni sawa na kuwapambanisha Kichuguu(Kinana) na mlima Kilimanjaro(Dr Slaa).
All in all tunataka mdahalo huo mapema iwezekanavyo
Teh teh teh..hebu tueleze, Slaa ana sera gani mpya zaidi ya kuongelea ufisadi kila kukicha???
Kinana yupo mbali sana when it comes to politics
Dr Slaa mwenyewe kwanza kwa sasa kajificha, sera zake kwishney na hatumsikii tena. Mdahalo atauwezea wapi?Kinana ndiye aliyemshauri JK akatae mdahalo na Dr Slaa, sasa mnatalajia yeye ndio atakubali? hakuna kitu kama hicho.
Teh teh teh..hebu tueleze, Slaa ana sera gani mpya zaidi ya kuongelea ufisadi kila kukicha???
Kinana yupo mbali sana when it comes to politics
Siku CCM ikikubali mdahalo kama huu mi nahama nchi.
MolemoChama mbona usiniulize kama namaanisha pembe za Faru?
gud idea
MtoiHata ukiwa wa kuchora bado utaitwa mlima tu! Kwani pembe za ndovu za kuchora zikiwa zimesafirishwa na kampuni ya mheshimiwa zikichorwa zikiwa zimekamatwa nchini china utaziitaje?!