Zitto Anataka kusema nini?

Zitto kachanganyikiwa .
Kujenga Kontinenti lenye sauti moja hakutokei kwa kuwa mbinafsi na ulichonacho.

Angekua Mwerevu nguvu zote alizotumia kuanzisha chama angewekeza CDM maana Mpinzani mwingine nchi hii hakuna.
 
Hawana majibu wameishia kukaririshwa.
 
Hongera sana Zitto kwa falsafa hizi matata ulizoziandaa hapo juu.

Ujumbe uliotoa ni ujumbe mpana sana, pengine ni ndoto ya Watanzania wengi.

Hata hivyo, uzito stahiki wa falsafa hizi ipo hapa 'Hivyo basi..........."'

Malizia hicho kipengele, pengine tutajua 'how' falsafa hii itakelezwa.

 
Anataka kuwaambia watanzania waende kwa wakati,hamna aliyezaliwa na chama.
Ushabiki wa vyama usiwe kama wa Yanga na Simba ambao huwezi kuuhama au kuubadili ila mapenzi yako moyoni na timu yako.Sawa na timu yetu ya Taifa hataifungwe vipi wewe utabaki kuwa mshabiki wake huna namna.
Vyama vya siasa tunaongelea hatima yako kimaisha na vizazi vyako,kama kiuchumi,kihuduma za jamii na usalama.
Hivyo sera na matendo lazima yaendane na nyakati.
Halafu wanasiasa watanzania bado hawajajua aslimia kubwa ya watanzania wapiga kura si wanachama wa vyama vyao.
Na nawashauri tusipoteze muda kuwa wanachama,bali tupige kura kutoa viburi vya wanasiasa.
Mie binafsi sina chama napiga kura kwa mgombea na sera ambayo naona inaninufaisha mie na jamii.
Huwa naumia unaona mshabiki wa chama anaumia mpaka povu linamtoka anashabikia wakati hamna alichofaidika hata future yake hana,wakati kuna wenye neema si washabiki wa siasa hizo.
Tuwe makini maana hata viongozi wa dini wanahubiri umaskini lakini wao hawaushi!
 
Nadhani aweka wazi kuwa chama alichokuwa siyo chama salama.
 

Nipe takwimu 2005 chadema ilikua na madiwani wangapi na wabunge wangapi mkoa wa kigoma. Na sasa 2010 wapo wangapi?

Hilo swali la pili ni kuwa wale wabunge wa nccr wahesabu kama wa chadema ila mliwakataa na kuwafukuza kwa kuwaita sisimizi wale wote walitokana na ushawishi wa ZITO kwa wanakigoma na kampeini aliwapigia.

Usitumie jeuri na kiburi cha dk.Slaa kwa kumu-hukumia Zito.
Kwa hilo wala hana hatia. Na slaa kura za urais kigoma walimpa nyingi sana kuliko arusha na kilimanjaro.
Tumia jicho la tatu kuangalia.
 
Zitto kachanganyikiwa .
Kujenga Kontinenti lenye sauti moja hakutokei kwa kuwa mbinafsi na ulichonacho.

Angekua Mwerevu nguvu zote alizotumia kuanzisha chama angewekeza CDM maana Mpinzani mwingine nchi hii hakuna.

Hizo nguvu alizitumia sana kuijenga chadema lakini wahafidhina wakawa wanakula tena bila kunawa wala kutoa jasho zaidi ya kukikopesha chama na kujilipa riba kubwa.

Sasahivi unataka ajenge chama ki aje wakati mshawapa taraka?

Ama kweli waswahili wanasema usitoe taraka kwa mwanamke ambaye bado una mapenzi naye.

Yaani mke umpe talaka na ukikuta anatongozwa barabarani wivu ukujae???
 

Swali no.1 umeshindwa kunijibu badala yake umeniuliza swali kwa mantic hiyo ume fail.

Swali la pili umeharibu kwa kumuingiza Dr. slaa kwa sababu hakuwa sehemu ya maswali yangu.

Hata hivyo swali la pili umekiri kwamba zitto aliwapigia debe wabunge wa nccr mageuzi huoni kwamba alikiuka misingi ya chama chake na kustahili kichapo cha viboko kumi na viwili akamuoneshe na hawala yake?
 
Zito ni mnafiki sana na anawaadaa tu,hivi haujui kuwa mwakani bunge linavunjwa kuelekea uchaguzi mkuu?.ana kiinua mgongo kama milion 100 hivi,hawezi kitu anachofanya ni uhuni tu,yaani anaendesha chama kingine huku ni mwanachama wa chadema pia,nadhani chadema wanamvumilia sana,tena sana,ana violence na huo ni uhuni ambao sidhani chadema wataendelea kuvumilia.
 
ganda la muwa la jana,chungu kaona kivuno
 
ZITTO hata akigombea kwa MBOWE anashinda.

Hivi uliisha wahi kujiuliza kwanini hakwenda kupeleka mashataka jimboni kwake badala yake alikwenda Kasuru? Umeisha wahi pia kujiuliza, kwanini kina Mwigamba wameenda tena Kasuru kumnadi zzk na sio jimboni kwake kule Kigoma vijijini? For your inform, mimi nimeolewa huko kwao, ninavyojua hata akibaki CDM, jimboni kwake hawezi kupata KURA za kwezesha kushinda uchaguzi, amenusa na pua yake imempa jibu sahihi!
 
Kujenga chama c ki2 rahc kihvo na hakitaenda kirahc kama wanavofikir, wote wanaotka chadema na kuhamia ACT wanakwnda kwa mkumbo na msisimko tu! Yakianza magumu ndan ya chama hko ndko utajua pumba na mchele
Ki2 cha kukumbka ni kua haiwezkan hta kdgo kukawa na mtelemko ktk kufaniksha k2, na chochote kile kikianza na mafanikio moja kwa moja huwa mara nyngi kinaishia kuangukia pua kwasabab hawajui misukosuko zaid ya mtelemko
ZZK hongera kwa kuanzisha vuguvugu hli lakin unachangamoto ya kubakiza chama unachokiendea, kiwe ktk daraja ambalo halitakupoteza kisiasa ukasahaulika moja kwa moja na hli si jambo jepes wala ucdanganyike na mitandao hii ya kijamii na wote wanaohamia kwako ujue binadam ni wepes kusisimka lakn wazito ki vtendo
Time will tell
 

Umekuja na majibu ya jumlajumla yasiyokua na takwimu zozote kwa kukalilishwa na wanaharakati wa siasa za majitaka.
Ili tujadili kupungua kwa madiwani kigoma ni lazma uje na takwimu hapa badala ya kuropoka.

Pili akina kafulila walikua ni washirika wa karibu wa zito kisiasa ili wahafidhina watimize mradi wao wa devide and rule wakaona bora wawafukuze ili waendelee kushka hatamu za uongozi pasipo demokrasia kufata mkondo wake.

Isingekua zambi zito kuwaunga mkono kama aliona ni watu sahii wanafaa na isitoshe wamefukuzwa chamani kwa ajili yake.

Na huo ukweli umekuja kuthibitika baada ya kuja ukawa kwani na mbali ya kuwaita sisimizi lakini leo hii mmetengua bunge kivuli na mkawapa wizara kivuli sasa kosa la zito liko wapi?
HAKUNA ALIYEPIGANA NA UKWELI AKAUSHINDA HAPA DUNIANI
Jifunze kuangalia kwa jicho la tatu.
 
Kuna thread iliwekwa humu mwaka 2009, nimeikuta mahali. Tujikumbushe:

 

Mimi na wewe nani kakalilishwa takwimu na wanaharakati! Jipime kabla ya kuandika ndugu! Nimekuuliza maswali unipe takwimu na wewe unapima nguvu yangu kwa kuniomba takwimu wewe bado sana kajipange upya.
 

Acha uongo. Wakati yupo kigoma nilikuwapo na mikutano yake ni mehudhuli na pote alitoa mashtaka juu ya viongoz kwa kile wanachomfanyia.

Hata ACT imeng'oa bendera takribani 6 kwenye matawi ya chadema na kusimika za act.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…