Zitto amchimba mkwara Mkullo?

Chiwaso

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
5,726
3,741
eti atamwaga nyeti za Ufisadi wa uchunguzi uliofanywa na CAG dhidi ya Shirika Hodhi la Mashirika ya Umma (CHC) ambao anasema Waziri Mkullo anampango wa kuchakuchua matokeo
 
Mtanzania(ISSN 0856-7573 Na. 04126) ya Alhamisi ya tarehe 13/10/2011
 
eti atamwaga nyeti za Ufisadi wa uchunguzi uliofanywa na CAG dhidi ya Shirika Hodhi la Mashirika ya Umma (CHC) ambao anasema Waziri Mkullo anampango wa kuchakuchua matokeo

Na mimi najiuliza kwa nini suala hili liingiliwe mapema hivi. Tunafichwa nini?
 
watu wapo to proactive, unakumbuka ujanja wa hivi ulitumika kuonyesha madudu wozara ya mambo ya ndani ktk salaka lile la vitambulisho vya taifa. Lilitolewa hadharani na Dr slaa, Likamuumbua waziri Masha. Hope Zito anataka kutumia the same style. Hope full.
 
Zitto amesema ataongea na waandishi leo kuhusu swala la Mkulo kuvunja board ya Consolidated Holding.
 
Tunasubiri hatua stahiki dhidi ya Mkullo, ikiwa ni pamoja na kupewa PI kwa sababu nasikia kajamaa kanatokea Malawi.
 
Mh Zitto namwamini kwa hoja nzito zenye nguvu. Mtu akitaka kukinga hoja zake anapaswa awe na misuli hasa ya kihoja la sivyo anaenda na hicho kimbunga cha Zitto.
Masikio yetu na macho yetu kwa sasa tumeyaelekeza kwa Zitto kusikia yaliyojiri ndani ya CHC.
 
Mh Zitto namwamini kwa hoja nzito zenye nguvu. Mtu akitaka kukinga hoja zake anapaswa awe na misuli hasa ya kihoja la sivyo anaenda na hicho kimbunga cha Zitto.
Masikio yetu na macho yetu kwa sasa tumeyaelekeza kwa Zitto kusikia yaliyojiri ndani ya CHC.
Sure! lakini naona kuna chain about this! Mkulo yuko front.
 
Mh Zitto namwamini kwa hoja nzito zenye nguvu. Mtu akitaka kukinga hoja zake anapaswa awe na misuli hasa ya kihoja la sivyo anaenda na hicho kimbunga cha Zitto.
Masikio yetu na macho yetu kwa sasa tumeyaelekeza kwa Zitto kusikia yaliyojiri ndani ya CHC.
Zitto changanya na za kwako (kama mbayuwayu), Si wote wanaokushauri humu JF wanakutakia mema. Take it very carefully.
 
ngoja tuone kama huyo mkulo atajiuzuru.
Nidhamu hakuna, uzalendo hiyo haitakiwi.
Mkulo fanya ubabe jk atakukingia kifua.
Tunasubiri tamko la mkama na nape.
 
Back
Top Bottom