Zitto alivyozomewa Mbeya Mjini

Status
Not open for further replies.

Yaani miongoni mwa watu waliosema yaloyo ya moyoni ni ww but it is too late, though not such much late! Zitto kinachomwalibia ni kiburi na dharau kwa wakubwa na wadogo. Only those!
 
Last edited by a moderator:
acha matusi video ipo wazi kabisa zitto hana hata hadhi ya kuogopwa na wana mbeya kwanza sio jadi yao kuogopa mtu zitto ni irrelevant atazomewa sana ni majibu na faida za mtu msaliti mtu asiyejua kufikiri anayeendeshwa kama robot mtu anaye hang kama zitto mbeya atazomewa tu kama alivyozomewa geita kigoma makambako na shinyanga
 
Vijana wa CDM na viongozi wenu kweli mmeshikwa pabaya sana. Mmeona jamaa anakubalika mpaka kule ambako hamkufikiria sasa mnajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Vijana wa CDM na viongozi wenu kweli mmeshikwa pabaya sana. Mmeona jamaa anakubalika mpaka kule ambako hamkufikiria sasa mnajitekenya na kucheka wenyewe.
huna hadhi kubali yaishe zitto ulikuwa zitto ukiwa chadema usaliti wako unakufanya uwe na stress unatia huruma mwiguru kitila wanyiramba walikuramba akili pole kijana mzee
 
tuendelee kumshauri taratibu jaman, you neva know anaweza akazinduka. umri nao wakati mwingine unachangia haya mambo. zitto nyumban kwake ni cdm, huku kwingine kiukweli ni kina kitila tu wanamzungusha na upofu wake unampoteza tu. kijana wa watu atajichokea siku si zake.

zitto rudi nyumbani, huo ndo wito wangu kwako.

hutaki kuniskiliza acha...
 
huna hadhi kubali yaishe zitto ulikuwa zitto ukiwa chadema usaliti wako unakufanya uwe na stress unatia huruma mwiguru kitila wanyiramba walikuramba akili pole kijana mzee

Kipi kimepungua? Zitto wa CDM amepungukiwa na nini kama ni pakumwagia sera zake za kuwakomboa watanzania bado anapo sasa wataka nini? Duh!! Kweli husda ni ugonjwa usio na tiba.
Wenzenu wanavyeka mapori 2.
 
Kipi kimepungua? Zitto wa CDM amepungukiwa na nini kama ni pakumwagia sera zake za kuwakomboa watanzania bado anapo sasa wataka nini? Duh!! Kweli husda ni ugonjwa usio na tiba.
Wenzenu wanavyeka mapori 2.

laana ya usaliti ni mbaya sana , unateketea huku unajiona !
 
leo nimeamini kweli zitto anawatesa. najua mnajuta kumfukuza. acha sasa mkione cha moto. matumbo yenu yanawaka moto juu ya zitto. na bado.



hii mbaya sana

Duh tena? Kuna mpambe wake mmoja anaitwa Ludo anasema sio kweli.

Adhabu yote hii ya nini? si arudishe hela za Ccm aachane na siasa?

Ataweka tweet kama jana kuwa hajazomewa na wala hajawahi kufanya mkutano Mbeya .......Usaliti malipo yake ni hapahapa duniani.....

Shetani ni shetani tu.....

Mcubic mambo si mazuri kabisa njoo huku ila uwe mvumilivu

Hivi zito anajitetea? Anajifagilia? AU anajenga chama? Wanaomwelewa nisaidieni.

Zitto siasa imemshinda, namshauri arudi tu nyumbani kigoma akavue migebuka maana hata Ubunge hapati mwaka huu!
 
Last edited by a moderator:
Mm namshangaa Sana Zitto kusema kwamba Mbowe anatumia shangingi Kwa fedha hizo hizo za wananchi Aya basi yeye ni mzalendo wa kweli? Embu tuchambue uzalendo wa Zitto?kumiliki hummer 3 Ndio uzalendo?? Range Rover je na hayo mengine tusiyoyajua
 
Dah!mi.nadhani umri pia ni tatizo sijui!hawa watoto wanajenga hoja za kipuuzi sanaaa!iv unaposema flani kazomewa unaelewa implication yk kwa watu wenye akili zao!!huwezi zomea tu unless unawivu,unachuki binafsi,akili zako haziwez kufikiria mwenyewe,unalishwa pumba na huwezi pembua..!!so what akizomewa?!huwezi fanya kila mtu akupende!!unapokuwa mtu maarufu hiyo ni part tu ya maishaa!!aliwahi zomewa rais wa nchi,wanazomewa wakina ronaldo,messi,taifa starz ilizomewa juzi.juzi... Watu wengi sana walishazomewa ambao leo ni watu successful...!!ni upuuzi na ni utoto,ujinga uliopitiliza kujipanga kwenda kuzomea!watu wanaenda sikiliza hoja!hawajiandai kuzomea!! Au ndio tabia uliyofundishwa??..yaan km ungekuwa mtt wng nakuchapa sana na nakifundisha ukitaka kumpinga mtu tumia akili sio kipiga makelele mishipa ikutoke kama chizi wakati hata hela ya maji au maziwa huna!!!huo mda wa kuzomea ni bora ushike kitabu ujifunze kitu kipya...au usake fedha wanao waishi maisha mazuri!!Nasema NI UPUUUZI SANA KUJIPANGA KWENDA KUZOMEA...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…