Nasubiria Zitto afukuzwe tuu...Imetosha sasa...
mkuu, mie pia ni mwanaCDM lakini nakuomba bila jazba soma mada inayozungumzia alichokuwa anapigania marehemu chacha wangwe kisha oanisha na madai ya 'wasaliti' wa sasa uone kama kuna tofauti - kubali kata mbowe ni tatizo!!!