Zitto akosoa utafiti wa Twaweza

Zitto akosoa utafiti wa Twaweza

Mheshimiwa zito wewe ni msomi halafu mbobezi wa masuala ya tafiti. Na kwakuwa wewe ni candidate wa PhD tulitarajia ukosoe utafiti kisomi na si kisiasa. Tuelezee conformity and disconfirmity za findings with studies. Kwenye fani za tafiti mpingane kwa tafiti na sio blabla tu. Kwenye mambo ya kisayansi mnaleta siasa kazi kwelikweli.
 
Kama kweli hayo yametoka kwa Zito, basi siku hizi amekua mzito kuelewa. JPM ni kipenzi cha wengi, hasa wanyonge.
 
Kama anakubalika kwanini azuie mikutano ya hadhara na maandamano?

Atoe siku moja tu atapata majibu bila twaweza kuwezesha.
 
Nchi hii kwa sasa inaendeshwa kwa propaganda!!! Wanajua wazi kuwa mkuu wa kaya hakubaliki wanachofanya ni kutumia propaganda kuharalisha ukubarifu wake!!!
 
Watu oooh research hupingwa kwa research, haya sio shida! Hapo ulipo iwe mgahawan, ofisn, shulen, kansan, mskitin ,kweny bus, au chumban na mkeo uulize kama wanamuelewa mkuu wa kaya usikie majibu yao! Twaweza are piece of shitty
 
Katika hali ya kawaida, mtu aliyechaguliwa kwa kura miongoni mwa wengi huwa tunaamini kwamba anakubalika. Sasa huyu Rais 'alishinda' uchaguzi hata mwaka haujaisha. Mashaka ya kuanza kufanya utafiti kama anakubalika yanatoka wapi? Maana mara nyingi utafiti hufanyika ili kugundua tatizo na chanzo chake. Hawa waliofanya utafiti wameujenga kwenye msingi gani wa kuhalalisha uwepo wa tatizo? Labda nitoe mfano, ni ajabu mtu kuja na wazo la kufanya utafiti kuangalia Rais anaishi wapi wakati sote tunajua huishi Ikulu. Ila utafiti wa aina hiyo unapata uhalali wa kufanyika kama kila tukienda Ikulu hatumkuti na tukiuliza wafanyakazi wa Ikulu wana twambia tangu aaipishwe kuwa Rais mwaka jana hatujawahi kumwonahapa hapa Ikulu. Hapo tuna kila sababu ya kutafiti mahali anapoishi Rais wetu. Sasa hawa Twaweza watwambie wameona nini hadi wafanye utafiti kuona kiwango cha watu kumkubali Rais wao 'wamemchagua' hata mwaka haujaisha?
 
NIMESUBILI 2025 . NAJUA MAGUFULI ATAPATA 96% YA KUMKUBALI ILI AONGEZEWE MIHULA MINGINE MITANO. WAPINZANI WAMEBAKIA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII TU. KILA KONA IWE MJINI AU VIJIJINI NI MAGUFULI JAMA.
 
Habari wanajamvi!

Nimesoma taarifa ya utafiti wa taasisi ya Twaweza lakini nimegundua hakika hatuwezi kufanya mambo ya kielimu bila kusimamiwa na wazungu.Utafiti Wa Twaweza ni dhaifu na matokeo yake ni batili kwakuwa hawakuzingatia mazingira ya kisiasa Nchini mwetu.

Twaweza wanasema wametumia simu kuwahoji watu mbinu ambayo tayari inamnyima mtoa majibu Uhuru wa kujieleza.Kwa kutumia simu maana yake ni kwamba unajua jina na utambulisho wote wa mtoa majibu hivyo kumlazimisha atoe jibu kiuoga.Aseme hampendi magufuli wakati we we unae mhoji hajui umepataje namba yake!

Twaweza fanyeni tafiti za kweli siyo vijiutafiti.Hivi kuhoji watu 1800 katika kundi kubwa la watu mil 50, mnataka watu wasadiki hayo matokeo? Twaweza walikuwa na haraka gani? Ndio maana wasomi wetu wanadharaulika mpaka mkubwa Wa Ardhi anataka alete wataalamu kutoka Rwanda.
 
Hiv ni TWAWEZA hawa hawa ndio walifanya tafiti kuhusu "BUNGE LIVE" au hawa ni wengine..?
 
Twaweza hawako serious kabisa raisi wetu anastahili kupata 100% kabisa hivi hawajui kama raisi hajaribiwi hawa
 
Twaweza walifanyia interview wanaccm tu. Hata hivyo jamaa kupata 96% ni kupoteza ushawishi wa anachokifanya kwa ccm wenzake. Alikuwa anakubalika kwa 100% ndani ya chama now ameporomoka sana within one month toka amepewa Uenyekiti.
 
Back
Top Bottom