Zitto ahesabiwa, ampa tano Rais Samia

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,707
Reaction score
21,867
Zitto ahesabiwa ampa tano Rais Samia.

Zitto Kabwe kamaliza kuhesabiwa adai ana furaha kubwa Sana baada ya kupokea ujumbe wa simu kutoka kwa rais Samia ambapo naye aliuforward kwa M/ Kiti Mbowe incase Kama hakupata wake, pia amewataka wananchi na wanachama wa ACT kujitokeza kuhesabiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…