Zitto afunika Igunga

 
Huo ni uwongo, hapa Igunga ZITO hana ubavu wa kufunika wala CDM haina lolote zaidi ya kufanya fujo za kitoto ambapo wapiga kura titaipiga chini CDM
Mafilili
Wakati madiwani wa CHADEMA Arusha walipofukuzwa ulijitapa kwamba ingekula kwa chadema kuliko kwa madiwani wenyewe,siku chadema wakishinda Igunga usikimbie forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…