talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Mijadala dhidi ya Zitto ambae hata hawazungumzii ni hofu na kumuogopa.
Zitto ni msaliti mbaya sana asiyestahili kusamehewa na mwanamabadiliko yeyote yule,CCM wanamsajilia Chama haraka ili kuzigawa kura za Chadema nyingine ziende ACT wao washinde kirahisi,Zitto anaijua hii Move vizuri sana af anajidai anataka kuwang'oa CCM madarakani ni mnafiki mkubwa sana huyu mtu,Wanamabadiliko tuungane tumkatae na ACT yake pamoja na fedha zake za rushwa anazotumia kupamba headlines za Magazeti,Ni mtu mwenye uchu wa madaraka,mdini,mkabila,mkanda na mla rushwa mkubwa ni kirusi hatari sana kwenye nchi hii ndiyo maana wabunge wa CCM walimpigia sana makofi Bungeni baada ya kufanikisha kazi yao ya kuibomoa Chadema,Yeye mabadiliko ni pale tu atakapokuwa Mwenyekiti wa Chadema na mgombea Uraisi does it makes sense kweli?Tuunganishe nguvu kukimaliza hichi kirusi hatari kwenye mabadiliko ya nchi hii manake kilivyojijenga na mtandao wake hata ukiandika thread humu kuwaeleza watu SIDE B yake haikai.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Ushauri wangu kwa zito ajiunge na wanaukombozi UKAWA hapo wananchi kidogo watamwelewa,maana hawana imani naye
Yani Ritz kweli unaweza kuitetea ccm?
Zitto ni ngumi jiwe
mama yetu tunakuombea uishi mda mrefu,kweli mama yetu hali sio nzuri kama usemavyo mama,ufisadi,wizi,unafiki,ubinafsi,uongo na uzandiki ndo mfumo wa sasa wa serikali.upande mwingine nakuombea mungu muumba akuchukue ili usije ukashuhudia ghasia na vita.mlijitaidi kuweka usawa na amani nchini lakini mlioyahubili sio yanayotendeka kupitia chama tawala.sisi kama vijana tunashukuru kwa kuyaona na kuyasema yote uliyoyaona.mama usichaguliwe magazeti ya kusoma kuna magazeti mengi yanayofichua maovu ndani ya serikali kama vile Tanzania,mwananchi,-----,na mengine mengi.