Ngoja unaswe ndio utazijua hizo code vizuri.
In life....never under rate any man as long he is the same man like you.
Laiti ungejua na yeye anatumia code gani usingethubutu kuendelea na huyo Mke wake.
Ni suala la muda tu, hakika utakuja kunaswa tena kirahisi mno wala hutaamini.