1. Master girls
hawa ni waschana ambao huwachukulia wanaume kuwa ni viumbe walioumbwa ili kuwatumikia hivyo huamini kuwa thamani yake ni kubwa mno kwamba mwanaume yeyote anayetaka kuwa nae lazima awe mtumwa kwake. Atakuomba umfanyie mambo makubwa na mengi kana kwamba amekuajili na anakulipa mshahara, atadeka na mapozi chungu nzima kutaka kufanyiwa kila kitu na mwanaume aliyenaye.
2.Price girls.
hawa ni waschana ambao huamini hakuna mwanaume anayestahili kuea naye isipokuwa yule mwenye uwezo mkubwa sana kifedha, mara nyingi wanawake hawa huchukulia wanaume kama sehemu ya wao kutatua matatizo yao ya kifedha na hutumia nafasi ya kuwa msichana kutumbua pesa za mwanaume.
3.Lazy girls
hawa ni waschana ambao huamini kuwa wao ni wanawake na hawastahili kufanya chochote kwakuwa wao ni wanawake. hawajishugulishi na chochote hukaa tu na kusubiri kuletewa kwa kuwa wao ni wanawake.
NB:huenda nimekosea katika kutoa majina mtaniwia radhi kwa hilo nimetafuta majina ambayo nilihisi yangefaa. ikiwa utanirekebisha sio mbaya.
hawa ni waschana ambao huwachukulia wanaume kuwa ni viumbe walioumbwa ili kuwatumikia hivyo huamini kuwa thamani yake ni kubwa mno kwamba mwanaume yeyote anayetaka kuwa nae lazima awe mtumwa kwake. Atakuomba umfanyie mambo makubwa na mengi kana kwamba amekuajili na anakulipa mshahara, atadeka na mapozi chungu nzima kutaka kufanyiwa kila kitu na mwanaume aliyenaye.
2.Price girls.
hawa ni waschana ambao huamini hakuna mwanaume anayestahili kuea naye isipokuwa yule mwenye uwezo mkubwa sana kifedha, mara nyingi wanawake hawa huchukulia wanaume kama sehemu ya wao kutatua matatizo yao ya kifedha na hutumia nafasi ya kuwa msichana kutumbua pesa za mwanaume.
3.Lazy girls
hawa ni waschana ambao huamini kuwa wao ni wanawake na hawastahili kufanya chochote kwakuwa wao ni wanawake. hawajishugulishi na chochote hukaa tu na kusubiri kuletewa kwa kuwa wao ni wanawake.
NB:huenda nimekosea katika kutoa majina mtaniwia radhi kwa hilo nimetafuta majina ambayo nilihisi yangefaa. ikiwa utanirekebisha sio mbaya.