zipo wapi Tv Tumaini, c2c , Mlimani TV, cTn, nk...!

zipo wapi Tv Tumaini, c2c , Mlimani TV, cTn, nk...!

Sambuka

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
317
Reaction score
33
umepita muda sana hakuna taarifa juu ya vituo vya
Mlimani Tv,
C2C,
CTN,
Tv Tumaini nk..
mwenye kujua upatkanaj wake atupe myeti
 
mlimani tv,inapatikana kwenye king'amuzi cha TING,Tumaini tv,inapatikana kwenye king'amuzi cha startimes.Ila C2C,na ctn,bado hazijaingizwa kwenye digital
 
umepita muda sana hakuna taarifa juu ya vituo vya
Mlimani Tv,
C2C,
CTN,
Tv Tumaini nk..
mwenye kujua upatkanaj wake atupe myeti
Mmh.... wewe mgeni hapa mjini?! Huna habari kuwa channel zote hizo ulizozitaja, isipokuwa Tumaini TV, zilikumbwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa tarehe 31/12 kuamkia mwaka mpya wa 2013 na zikasombwa na maji zikiwa kwenye meli yao ya Analojia!! na ingawa kuna meli ya uokozi, iitwayo Dijitali ilitumwa kwenda kuziokoa na ikafanya kila jitihada kuziokoa, lakini channel zote hizo zilienda na maji na channel pekee zilizosalimika na mafuriko hayo ni kama vile TBC, ITV, StarTV, DTV na Channel ten, kwa hiyo kama wewe bado mpenzi wa hizo channel, hebu fanya mpango na meli ya uokozi ya Dijitali ijitose kwa mara nyingine kwenye bahari iliyochafuka, pengine inaweza kufanikiwa kuziokoa hizo channel zako pendwa!!!
 
Mmh.... wewe mgeni hapa mjini?! Huna habari kuwa channel zote hizo ulizozitaja, isipokuwa Tumaini TV, zilikumbwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa tarehe 31/12 kuamkia mwaka mpya wa 2013 na zikasombwa na maji zikiwa kwenye meli yao ya Analojia!! na ingawa kuna meli ya uokozi, iitwayo Dijitali ilitumwa kwenda kuziokoa na ikafanya kila jitihada kuziokoa, lakini channel zote hizo zilienda na maji na channel pekee zilizosalimika na mafuriko hayo ni kama vile TBC, ITV, StarTV, DTV na Channel ten, kwa hiyo kama wewe bado mpenzi wa hizo channel, hebu fanya mpango na meli ya uokozi ya Dijitali ijitose kwa mara nyingine kwenye bahari iliyochafuka, pengine inaweza kufanikiwa kuziokoa hizo channel zako pendwa!!!

hahaha, haya bana shida inakuja hayo mang'amuzi ni ya mjini tu bora ingekua ktk ungo hata sumbawanga unangamua tu
 
hee imekua kaz kwel kwa gharaka inamana ninunue
StarTimes
Ting
Zuku
Easy Tv
na Dish la Kawaida
hizo nyaya huko nyuma ya TV si tutapgwa shoti
 
Kwahiyo ili uangalie local channels zote inabidi uwe na ving'amuzi vitano tofauti!
 
Back
Top Bottom