Zipi kazi na Yapi ni Majukumu ya Mwanamke au Mwanaume?

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
Kwa mila na desturi za duniani kuna mgawanyo wa Kazi na Majukumu ya wanawake au wanaume. Lakini kutokana na kubadilika kwa mitizamo ya wanadamu baadhi ya vitu vinatakwa kufanywa na jinsi zote. Kwenye Orodha ifuatayo nimeweka kazi na majukumu ya wanawake na wanaume kama kuna jambo hukulibalini nalo jenga hoja.


  1. Kubadilisha nepi za mtoto na kumuogesha (Mwanamke)
  2. Kuosha vyombo, kupika,kutoa vyombo mezani (Mwanamke)
  3. Kutandika kitanda na usafi wa chumba (Mwanamke)
  4. KUfua nguo za mwenza na kuzipanga Kabatini (mwanamke)
  5. Kusimamia nidhamu ya watoto nyumbani (Mwanaume)
  6. KUtunza Bustani na Mazingira ya nyumba (Mwanaume)
  7. Kulima shambani (Mwanamke na mwanaume)
  8. Kulipa ada ya shule (Mwanaume)
  9. Kutoa hela za matumizi nyumbani (Mwanaume)
  10. Gharama za matumizi ya Gari (Mwanaume)
  11. Kulipa bili ya chakula Hotelini au pombe Baa (Mwanaume)
  12. Ulinzi wa nyumba (Mwanaume

Kama unaona kuna kazi au majukumu ya Mwanamke au mwanaume ambayo sijaorodhesha yaweke na kama yapo niliyoyaorodhesha lakini nimekosea kuweka Mhusika wake yakosoe!!
 
saluni....mwanamke
kuosha miguu....mwanamke
kununua nguo mpya kila weekend na hereni na chupi.....mwanamke
kutunza wazazi pande zote na ndugu wengine ...mwanaume
michango ya harusi....mwanaume
endelea@Lara1
 
Namba 7 hapana.Hiyo ni kazi ya mwanaume.Ni katika kuhakikisha nyumba yake ina chakula cha kutosha.Pia umesahau kutafuta house girl/boy-Mwanamke
 
hiyo ya kufua siiwezi hata kidogo na sina nia ya kuja kuiweza........

Mtu akavae ma-jeans huko nikamfulie mie, kisa?
 
Kwa mila na desturi za duniani kuna mgawanyo wa Kazi na Majukumu ya wanawake au wanaume. Lakini kutokana na kubadilika kwa mitizamo ya wanadamu baadhi ya vitu vinatakwa kufanywa na jinsi zote. Kwenye Orodha ifuatayo nimeweka kazi na majukumu ya wanawake na wanaume kama kuna jambo hukulibalini nalo jenga hoja.


  1. Kubadilisha nepi za mtoto na kumuogesha (Mwanamke)
  2. Kuosha vyombo, kupika,kutoa vyombo mezani (Mwanamke)
  3. Kutandika kitanda na usafi wa chumba (Mwanamke)
  4. KUfua nguo za mwenza na kuzipanga Kabatini (mwanamke)
  5. Kusimamia nidhamu ya watoto nyumbani (Mwanaume)
  6. KUtunza Bustani na Mazingira ya nyumba (Mwanaume)
  7. Kulima shambani (Mwanamke na mwanaume)
  8. Kulipa ada ya shule (Mwanaume)
  9. Kutoa hela za matumizi nyumbani (Mwanaume)
  10. Gharama za matumizi ya Gari (Mwanaume)
  11. Kulipa bili ya chakula Hotelini au pombe Baa (Mwanaume)
  12. Ulinzi wa nyumba (Mwanaume

Kama unaona kuna kazi au majukumu ya Mwanamke au mwanaume ambayo sijaorodhesha yaweke na kama yapo niliyoyaorodhesha lakini nimekosea kuweka Mhusika wake yakosoe!!
hapo kwenye red ni jukumu la wote ,ile kauli ya wamama wengine wanasema subiri baba yako aje !!!mbaya nidhamu na usafi ni kwa watu wote
 
hiyo ya kufua siiwezi hata kidogo na sina nia ya kuja kuiweza........

Mtu akavae ma-jeans huko nikamfulie mie, kisa?
kuna mashine siku hizi,but mi napenda kufua sana sana ,nitakusaidia
 
Ukizingtia kuwa wanawake siku hizi wanafanya kazi nje ya nyumba ni vigumu kusimamia kazi za nyumbani bila Msaada toka kwa mfanyakazi, ndugu, au Kama wana bahati, waume zao. Kama mama mwenye nyumba anasaidia kuleta kipato nyumbani sioni tatizo baba akisaidia kubadilisha nepi mtoto huku mama akiandaa chakula. marriage is team work after all. Binafsi Mimi na mume wangu tunasaidiana kazi zote, ila mara nyingi ni Mimi ninaefanyaga kazi za "kike" kwasababu naziweza zaidi na si kwasababu amekataa kwakuwa yeye ni mwanamme. I cook, clean, work and take care of the baby. Every now and then he takes care of the baby so I can do my own thing as well. Ushauri kwa akina baba, jaribuni kujenga uhusiano na watoto wenu. Kulipia gharama za nyumbani pekee haitoshi. hakuna kitu kizuri kama uhusiano mzuri Kati ya wazazi na watoto.




Great topic Kigarama!



Kwa mila na desturi za duniani kuna mgawanyo wa Kazi na Majukumu ya wanawake au wanaume. Lakini kutokana na kubadilika kwa mitizamo ya wanadamu baadhi ya vitu vinatakwa kufanywa na jinsi zote. Kwenye Orodha ifuatayo nimeweka kazi na majukumu ya wanawake na wanaume kama kuna jambo hukulibalini nalo jenga hoja.


  1. Kubadilisha nepi za mtoto na kumuogesha (Mwanamke)
  2. Kuosha vyombo, kupika,kutoa vyombo mezani (Mwanamke)
  3. Kutandika kitanda na usafi wa chumba (Mwanamke)
  4. KUfua nguo za mwenza na kuzipanga Kabatini (mwanamke)
  5. Kusimamia nidhamu ya watoto nyumbani (Mwanaume)
  6. KUtunza Bustani na Mazingira ya nyumba (Mwanaume)
  7. Kulima shambani (Mwanamke na mwanaume)
  8. Kulipa ada ya shule (Mwanaume)
  9. Kutoa hela za matumizi nyumbani (Mwanaume)
  10. Gharama za matumizi ya Gari (Mwanaume)
  11. Kulipa bili ya chakula Hotelini au pombe Baa (Mwanaume)
  12. Ulinzi wa nyumba (Mwanaume

Kama unaona kuna kazi au majukumu ya Mwanamke au mwanaume ambayo sijaorodhesha yaweke na kama yapo niliyoyaorodhesha lakini nimekosea kuweka Mhusika wake yakosoe!!
 
kuna mashine siku hizi,but mi napenda kufua sana sana ,nitakusaidia

Kwa mashine sawa, ila kwa mkono hapana hata kidogo.

Unaonaje akifua mwenyewe mpaka apate watoto wakiume waje wamsaidie?
 
hiyo ya kufua siiwezi hata kidogo na sina nia ya kuja kuiweza........

Mtu akavae ma-jeans huko nikamfulie mie, kisa?
attachment.php

hii picha inakuhusu sana wewe mtoto wa kike tena mtanzania msafi mumeo bibi mfulie wewe ngoja wengine wamfulie ukome kabisa au peleka mwenyewe dry cleaner wacha ushamba.
 
Kwa mila na desturi za
duniani kuna mgawanyo wa Kazi na Majukumu ya wanawake au wanaume. Lakini
kutokana na kubadilika kwa mitizamo ya wanadamu baadhi ya vitu
vinatakwa kufanywa na jinsi zote. Kwenye Orodha ifuatayo nimeweka kazi
na majukumu ya wanawake na wanaume kama kuna jambo hukulibalini nalo
jenga hoja.


  1. Kubadilisha nepi za mtoto na kumuogesha (Mwanamke)
  2. Kuosha vyombo, kupika,kutoa vyombo mezani (Mwanamke)
  3. Kutandika kitanda na usafi wa chumba (Mwanamke)
  4. KUfua nguo za mwenza na kuzipanga Kabatini (mwanamke)
  5. Kusimamia nidhamu ya watoto nyumbani (Mwanaume)
  6. KUtunza Bustani na Mazingira ya nyumba (Mwanaume)
  7. Kulima shambani (Mwanamke na mwanaume)
  8. Kulipa ada ya shule (Mwanaume)
  9. Kutoa hela za matumizi nyumbani (Mwanaume)
  10. Gharama za matumizi ya Gari (Mwanaume)
  11. Kulipa bili ya chakula Hotelini au pombe Baa (Mwanaume)
  12. Ulinzi wa nyumba (Mwanaume

Kama unaona kuna kazi au majukumu ya Mwanamke au mwanaume ambayo
sijaorodhesha yaweke na kama yapo niliyoyaorodhesha lakini nimekosea
kuweka Mhusika wake yakosoe!!

Soma Biblia takatifu, Waefeso 5:22-31.
 
saluni....mwanamke
kuosha miguu....mwanamke
kununua nguo mpya kila weekend na hereni na chupi.....mwanamke
kutunza wazazi pande zote na ndugu wengine ...mwanaume
michango ya harusi....mwanaume
endelea@Lara1
unajua kuwakosha wanaume wa humu basi wanakasirikajeeeeeeeeeeeeeeee kwiwkiwkiwkiwkwiwki
 
saluni....mwanamke
kuosha miguu....mwanamke
kununua nguo mpya kila weekend na hereni na chupi.....mwanamke
kutunza wazazi pande zote na ndugu wengine ...mwanaume
michango ya harusi....mwanaume
endelea@Lara1

I think am 'addicted' to that...in red! Kwa hiyo inabidi iwe....mwanamke na mwanaume
 
hii picha inakuhusu sana wewe mtoto wa kike tena mtanzania msafi mumeo bibi mfulie wewe ngoja wengine wamfulie ukome kabisa au peleka mwenyewe dry cleaner wacha ushamba.

Kwanza naona upo katika wale watu wanaoishia kwenye ku-assume vitu na kuviamini wao wenyewe.

Nani aliyekwambia mie ni Mtanzania safi?

Pili kutomfulia mume ni ushamba kwa mujibu wa mamlaka gani?

Msitake watu wote waishi kwa misingi mliojipangia nyie. Watu wanatofautiana, na kimsingi wanayoweza kufanya kwa wenza wao yanatofautiana vile vile.
 
Kwanza naona upo katika wale watu wanaoishia kwenye ku-assume vitu na kuviamini wao wenyewe.

Nani aliyekwambia mie ni Mtanzania safi?

Pili kutomfulia mume ni ushamba kwa mujibu wa mamlaka gani?

Msitake watu wote waishi kwa misingi mliojipangia nyie. Watu wanatofautiana, na kimsingi wanayoweza kufanya kwa wenza wao yanatofautiana vile vile.
na hiyo misingi ndio itakumaliza end of the day kip it up,ukukua utajua ninachokisema hapa .uwe mtz usiwe hainihusu mradi unaelewa kiswahili hiki tunachotumia hapa
 
na hiyo misingi ndio itakumaliza end of the day kip it up,ukukua utajua ninachokisema hapa .uwe mtz usiwe hainihusu mradi unaelewa kiswahili hiki tunachotumia hapa

Watu wanasema hawawezi kumalizwa kwa kufua ma-jeans ya wanaume, wewe unasema mtu atamalizwa kwa kutokufua. Atamalizwa vipi?

Au ndizo zile fikra za kimfumo dume kuwa kama hujamtumikia mume kama wewe punda wake kirongwe basi atakutafutia nyumba ndogo?

Pole sana, manake huko ni kushikiwa akili na mfumo-dume
 
Back
Top Bottom