Zingatia haya yatakusaidia katika maisha yako..

Status
Not open for further replies.
kuna sababu za kumfanya mtu akasirike,naweza kusema huwa inatokea ghafla agharabu kusema hapa nakasirika au pale sikasiriki,huenda ukasema hivyo lakini ikitokea hali halisi huenda ukakasirika,kwa mfano,imetokea tu umegundua mke wako anabwana pembeni,hapa pia utasemaje,kwa asili haiji hasira automaticaly?labda cha kuongeza kwamba kukasirika hakukwepeki ila kinachotakiwa ni kutulia kwanza unapohisi umekasirika yaani usitoe maamuzi ukiwa una hasira,ila hasira haizuiliki.hata hivyo umejitahidi kutuletea kitu tofauti kidogo...

kuwa muadilifu na ifuate haki hata katika hasira (hii ndio dawa ya hasira).

Mtu strong si yule anaejua kupigana mwereka, Mtu strong ni yule anaojua kuji-controll katika hasira.
 
Kitu kizuri na chenye manufaa duniani ni kuilea nafsi iwe yenye kuridhika na kushukuru, na kuwa na nia safi.

Na hakuna kitu chema chenye kuleta faida kama kuwasamehe WENZAKO wote wenye kukukosea na wenye kukuchukia!

Lakin kuna jambo jingine bora zaidi hata Mtume
(S.A.W.) aliwahi kumuusia mmoja kati ya swahaba wake zaidi ya mara 3,
na kila mara alirudia akisistiza:

"USIKASIRIKE!"
"USIKASIRIKE!"
"USIKASIRIKE!"

Kwani hasira huzaa Chuki,
Chuki huzaa maudhi,
Maudhi huzaa kisirani, na
Kisirani huondosha nuru njema maishani na
huondosha mapenzi, maelewano, utulivu, na amani.

Tuazimie kutenda mema na Mungu Atatujaalia tawfiq,

In Sha Allah
Mngekuwa mnahubiri hivi, upendo wa kweli kati ya wakristo na waislamu ungetamalaki; wala makanisa yasingechomwa!
 
Mngekuwa mnahubiri hivi, upendo wa kweli kati ya wakristo na waislamu ungetamalaki; wala makanisa yasingechomwa!


Haya ndio yanayo huburiwa katika nyumba za ibada.

Ndio maana Waislamu na Wakristo wanaishi pamoja na kwa usalama hapa Tanzania, mshukuru Mungu (acha fikra mbaya).
 
Achen kuchoma makanisa na kuhubir chuki na ubaguz kwa itikad ya din sasa,
Karbun sana kwenye ulimwengu wa upendo,aman na umoja.
Hongeren
 
Achen kuchoma makanisa na kuhubir chuki na ubaguz kwa itikad ya din sasa,
Karbun sana kwenye ulimwengu wa upendo,aman na umoja.
Hongeren

1) Huna haki ya kuwahukumu na kuwalaumu watu wote kwa makosa ya baadhi ya watu.

2) Pili umetoka nje ya mada hii.
 
Inaonesha humu ndani kuna watu hawajui ugaidi ni nini na chanzo chake ni nn na wapi? poleni sana mungu atupe uwezo wa kutumia akili zetu

Mkuu jitahidi sana kila uandikapo neno mungu basi m lazima iwe herufi kubwa, yaani hivi Mungu.
 
kuna sababu za kumfanya mtu akasirike,naweza kusema huwa inatokea ghafla agharabu kusema hapa nakasirika au pale sikasiriki,huenda ukasema hivyo lakini ikitokea hali halisi huenda ukakasirika,kwa mfano,imetokea tu umegundua mke wako anabwana pembeni,hapa pia utasemaje,kwa asili haiji hasira automaticaly?labda cha kuongeza kwamba kukasirika hakukwepeki ila kinachotakiwa ni kutulia kwanza unapohisi umekasirika yaani usitoe maamuzi ukiwa una hasira,ila hasira haizuiliki.hata hivyo umejitahidi kutuletea kitu tofauti kidogo...

Hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu. Tunaambiwa muwe na hasira ila msitende dhambi. Badala ya kukasirika wewe unapaswa kutulia na kutafakari mchango wako juu ya hilo tukio n kama ulitimiza wajibu wako. Ikisha muhoji umuelewe upande wake ndipo uchukue maamuzi
 
Magaidi ni watu wa aina gani?

Ni wauaji wanaojificha nyuma ya uislamu na ambao hawakemewi na waislamu hata Mara moja. Wauaji hawa wengine nu masheikh na maustaadhi mfano ustaadh Ilunga aliyehutubia wazi wazi akiwaelekeza waislamu wawaue wakristo popote walipo. "kamata kadinali, kamata padiri, kamata walei ua!" Cha ajabu huyu jamaa anaonekana kama mmoja wa mashujaa wa waislamu. Hivyo kwa kifupi magaidi ni waislamu.

NB:Mods msinipige tena ban kwani nimetoka jela Jana.
 
Ni wauaji wanaojificha nyuma ya uislamu na ambao hawakemewi na waislamu hata Mara moja. Wauaji hawa wengine nu masheikh na maustaadhi mfano ustaadh Ilunga aliyehutubia wazi wazi akiwaelekeza waislamu wawaue wakristo popote walipo. "kamata kadinali, kamata padiri, kamata walei ua!" Cha ajabu huyu jamaa anaonekana kama mmoja wa mashujaa wa waislamu. Hivyo kwa kifupi magaidi ni waislamu.

NB:Mods msinipige tena ban kwani nimetoka jela Jana.

1) Acha chuki kwa ndugu zako Waislamu (Hapa kwetu Tanzania Wakristo na Waislamu tunaishi kwa amani, Mungu ibariki Tanzania).

2) Pili umetoka nje ya mada hii.
 
1) Acha chuki kwa ndugu zako Waislamu (Hapa kwetu Tanzania Wakristo na Waislamu tunaishi kwa amani, Mungu ibariki Tanzania).

2) Pili umetoka nje ya mada hii.

...,Hongera sana bro kwa Mada nzuri na Mungu azidi kukuongeza busara ktk kuwajibu hao wanaoleta kashfa ktk Uzi huu..., keep it up bro!
 
1) Acha chuki kwa ndugu zako Waislamu (Hapa kwetu Tanzania Wakristo na Waislamu tunaishi kwa amani, Mungu ibariki Tanzania).

2) Pili umetoka nje ya mada hii.

...,Hongera sana bro kwa Mada nzuri na Mungu azidi kukuongeza busara ktk kuwajibu hao wanaoleta kashfa ktk Uzi huu..., keep it up bro!!!
 
Ni wauaji wanaojificha nyuma ya uislamu na ambao hawakemewi na waislamu hata Mara moja. Wauaji hawa wengine nu masheikh na maustaadhi mfano ustaadh Ilunga aliyehutubia wazi wazi akiwaelekeza waislamu wawaue wakristo popote walipo. "kamata kadinali, kamata padiri, kamata walei ua!" Cha ajabu huyu jamaa anaonekana kama mmoja wa mashujaa wa waislamu. Hivyo kwa kifupi magaidi ni waislamu.

NB:Mods msinipige tena ban kwani nimetoka jela Jana.

Yaani dakika zoote ndio umetoka na definition hiyo kuwa ndo ku-define halali juu ya swali nililokuuliza?

Kweli kijana si rizki una yako mengine, pia nilitaraji kuona utumbo wako kama huo hapo juu, kwani umejiweka wazi kuonesha upogo wa elimu na ufahamu wako,

Tusaidie na wale jamaa wa West gate, kama mambo hujui nyamaza pia ni katika kuonesha busara zako kuliko kujaza (page)s

Ukitaka kumuua PAKA mpe jina baya,

Utumbo wako hapo ndo Chuki na Fitna dhidi ya Dini nyengine,

Unakimbilia Mods wakusaidie nini wakati umeandika uharo kwa makusudi?
 
Haya ndio yanayo huburiwa katika nyumba za ibada.

Ndio maana Waislamu na Wakristo wanaishi pamoja na kwa usalama hapa Tanzania, mshukuru Mungu (acha fikra mbaya).

Umenena kweli kaka. Uislamu una shear tabia moja ya msingi sana na dini zingine, unasisitiza sana upendo na amani, hii ni tunu muhimu sana katika maisha ya sie viumbe tusio jua hatma ya kesho yetu.

Mwenyezi Mungu atujalie tuwe ni wenye kutendeana mema mpaka pale tutakapo ondoka kwenye uso wa hii dunia. Inshaallaah.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom