Zingatia haya ili KURA yako ISIHARIBIKE.

Zingatia haya ili KURA yako ISIHARIBIKE.

naka

Senior Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
110
Reaction score
31
Kura yako isizidi nje ya kisanduku cha kupigia kura..usipige kura zaidi ya mgombea mmoja..usiandike maneno mengine zaidi ya kuweka tick au vema tu..usiandike namba yako ya simu..usichore kitu chochote kwenye karatasi ya kupigia kura. Cha mhimu ni wewe weka tick tu kwa mgombea unayemtaka kura yako itakuwa halali.
 
Back
Top Bottom