Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
- Thread starter
-
- #181
Write your reply...Mtoa post umeuliza swali jengine na umejiviwa lakini naona unajadili mada nyengine hata haihusiani
Chief
Mfiakweli
Elimu haichukuliwi kwa kujisomesha mwenyewe,ni lazima usomeshwe na Msomi
Pili
Katika Uislam,kuna misingi mingi,mmoja wa misingi mama,ni
Kuchukua elimu kwa mtu alieaminika na sifa ya ukweli,
Elimu haichukuliwi kwa mtu muongo
Elimu haichukuliwi kwa mtu mzushi
Elimu haichukuliwi kwa mtu mjinga
Sasa Bro
Hao unachokuwa au unaowasema kuwa wamesomea Islamic Theology,ni watu wenye kuaminika mbele ya Sheria yetu?!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uende kwenye link hii (nai-post mara ya NNE leo hii halafu uniambie wasifu wao-kama Waislamu au la na uje kutuambia hapa.
usitume link
sina shida nayo Chief
Kiujumla
Sina ukaribu na Mashia,kwa wao kutoka katika Uislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisha
Nilikupa hoja juu ya Uharamu wa ndoa hiyo chafu
nadhani,hukuja na hoja za kuvunja hoja zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliesema hao ni Mashia ni nani?
Post yangu #181 inakuhusu pia.
Mkuu kilegezo cha matamanio ya kingono tulichofundishwa na mtume (s.a.w) ni kufunga swaumu za sunnah kwa sababu njaa hua ina kawaida ya kuvunja vunja matamanio ya ki mwili.
Naomba nikuulize hili swali na wewe unijibu kwa dhati ya nafasi yako.
Wewe kama walii je upo tyr aje mtu nymbn kwenu kumposa dada au ndugu yako yoyote kwa ndoa ya wiki 1 hata kama mazingira ya huyo mtu yanamruhusu kufunga ndoa ya aina hio?
Maendeleo hayana chama
Mkuu, mbona matamanio ya kingono zinazidi siku za saumu, na ndio maana tumeruhusiwa kujituliza nyakati za usiku? Halafu namna mmoja ya kusahaulisha njaa ni kufikiria mapenzi! Ndio maana watu masikini huwa wanazaa watoto wengi.
Halafu umeniweka matatani kwenye hii ndoa ya wiki moja. Hapa kuna maswali mengi ya kujiuliza. Masharti na viegezo ya Mutaa ni yapi???? Je, kama binti mwenyewe ameridhia ndoa, walii anahaki ya kumzuia?? Kama ndoa hii ya wiki moja ikiitikia, nani ana majukumu ya kulea mtoto?? Halafu mbona kuna ndoa za kawaida pia zinafunjika baada ya siku mmoja, na binti anaendelea kuishi nyumbani? Lipi ni nzuri - kuzini ovyo au kuolewa kwa muda ili kutuliza matamanio??? Binti mwenyewe kama siku zake zinaenda, si bora apate kuonja tunda la ndoa kihalali?
Hata hivyo, naona ndoa za Mutaa zinaharibu jamii kwa sababu hayana maisha marefu. Ni zaidi kufurahisha kimwili na haina mustakabali. Sijajua bado hukumu ya dini ni nini? Nilisema mwanzoni kabisa elimu yangu ni ndogo, na hapa nitatafuta ushauri kwa wa Ulemaa.
Kuna aya inayokataza au wewe umeamua kuikataa? Na kama hakuna aya huoni kuwa unakiuka ulichoamrishwa?
Nimemsikia sheikh mmoja akisema kuwa Muislamu (mwanaume) anaweza kuingia ndoa ya muda maalumu (nikah mut'ah) na mwanamke halafu baada ya hapo akamtaliki. Kwa mfano mimi naishi Tanga lakini nikapata safari ya kikazi Kigoma ya wiki moja na huko nikakutana na binti basi tukikubaliana namwambia "bi mdogo nitakuoa kwa siku mbili au tatu maana nitarejea Tanga siku ya tano".
Unaliongeleaje hilo? Ni halali?
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Kabla ya kukujibu naomba utupe aya inayohalalisha ndoa ya mutaa na sababu sake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ndoa ni konki sanaaaMkuu, mbona matamanio ya kingono zinazidi siku za saumu, na ndio maana tumeruhusiwa kujituliza nyakati za usiku? Halafu namna mmoja ya kusahaulisha njaa ni kufikiria mapenzi! Ndio maana watu masikini huwa wanazaa watoto wengi.
Halafu umeniweka matatani kwenye hii ndoa ya wiki moja. Hapa kuna maswali mengi ya kujiuliza. Masharti na viegezo ya Mutaa ni yapi???? Je, kama binti mwenyewe ameridhia ndoa, walii anahaki ya kumzuia?? Kama ndoa hii ya wiki moja ikiitikia, nani ana majukumu ya kulea mtoto?? Halafu mbona kuna ndoa za kawaida pia zinafunjika baada ya siku mmoja, na binti anaendelea kuishi nyumbani? Lipi ni nzuri - kuzini ovyo au kuolewa kwa muda ili kutuliza matamanio??? Binti mwenyewe kama siku zake zinaenda, si bora apate kuonja tunda la ndoa kihalali?
Hata hivyo, naona ndoa za Mutaa zinaharibu jamii kwa sababu hayana maisha marefu. Ni zaidi kufurahisha kimwili na haina mustakabali. Sijajua bado hukumu ya dini ni nini? Nilisema mwanzoni kabisa elimu yangu ni ndogo, na hapa nitatafuta ushauri kwa wa Ulemaa.
Naomba ufuatilie mjadala huu page kwa page. Nimeshajibu swali lako hili zaidi ya mara tatu.
Nini nime-avoid kujibu?! Taja swaliTypical Moslems strategy in avoiding unanswerable questions:
Lazima mtumie moja kati ya haya matatu at basic level.
1. Hujui Kiarabu
2. Hao si Waislamu bali Shia/Hamadiya
3. Kukwepa kujibu swali kwa kurukia kisichosemwa. Nakupa ushahidi wa wewe kutumia technique namba 3. Sikiliza part ya debate kati ya Mohammed Hijab na Dr David Wood hapa chini
BADO HILO SWALI HUJAJIBU zaidi ya ku-beat around the bush!! Na kama umejibu, taja post # ngapi lakini sio 137 kwa sababu ni IRRELEVANT!!Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).