Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 755
- 468
jamani nilitangaza kua kuna fremu ninazipangisha maeneo ya manzese midizini na godown sasa zimebakia fremu nne na godown moja bei za fremu ni 160,000 na warehouse ni mil moja na laki sita 1,600,000 kwa maelezo zaidi 0712-212220
<br />hatupangish kwa biashara kharam
ila ni kubwa square meter 4
ila ni kubwa square meter 4
u didnt get me lat just try luk again!
nilikua na maana ya kusema 16 square meter ila nijasoma so ndo umenipa mawazo nikaweza kupresent inavyotakiwa wanaadamu hatujalingana tumetofautiana wewe una elimu kuliko mimi!