Zimbabwe wanaelekea 51% share sisi tunashindwa nini?

Zimbabwe wanaelekea 51% share sisi tunashindwa nini?

i do not make enemies.Others make me an enemyof theis.." robert mugabe in his book DINNER WITH MUGABE untold story
 
IN our country they changed the meaning of public interest....maana kuwa mikataba ni siri kwa manufaa ya umma....umma upi...viongozi au wanaanchi.......mikataba yote lazima ile inakua approved na bunge.....kuwe hakuna siri....yoyote kwenye mikataba....tanzania tuna madini mengi....kwanini yachimbwe kwa wakati mmoja vp kuhusu manufaa ya vizazi vijavyo....VAMPIRE LIKE POLITICIAN ARE GOIN TO HARM US
 
Hao local investors wa 10% each unawajuwa ni kina nani?
 
but also indigenous with enough capital to run those ventures after pull of foreign capital,otherwise such a policy might result into a fate....

Mfano bora na mzuri ni jinsi ilivyo NMB leo, naamini kila shirika lingeuzwa hivi leo tungekuwa mbali.
 
Back
Top Bottom