Zimbabwe vs Brazil

Sisi naogopa tutabugizwa si kawaida...

Kwa kuwa tunawalipa mabilioni naona watatutundila tatu tu kama Zimbabwe kwani sisi hatuhitaji chochote zaidi ya kuwaona live wanavyocheza na kutia baraka uwanja wetu kuwa ni mmoja kati ya iliyowahi kuchezewa na Brasil
 
Sisi naogopa tutabugizwa si kawaida...

Dalili zinaonesha wazi kichapo halali yetu kwani J2 hii Starz wanacheza na RWANDA kwenye CHAN afu J3 ndo wanakutana na Watoto wa samba Majira ya saa12..Sijui sheria za soka zinasemaje kuhusu mapumziko baina ya mechi na mechi (kwenye soka)...kama watacheza itakuwa just a show game na sio mikiki mana CHAN ndo kipaumbele na sio Brazil..
 
MITUNGO YA HESHIMA...NADHANI STARS WAKIPIGWA ZAIDI YA MOJA ITABIDI TUOMBE WATUREJESHEE CHENJI ZETU ZA KUWA KIRIMU

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom