real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
ZIMBABWE: Rais Emmerson Mnangagwa ameunda baraza jipya la mawaziri, amewaweka maafisa wa jeshi waliomuunga mkono katika wizara kadhaa na pia kuwabakisha maziri wengi wa kipindi cha Mugabe.
Mnangagwa amamteua Sibuso Moyo, jenerali aliyejitokeza kwenye TV ya taifa baada ya jeshi kuingilia, kuwa waziri wa mambo ya nje
Pia amemteua kiongozi wa jeshi la anga la Zimbabwe Perence Shiri kuwa waziri wa kilimo na ardhi
Pia amewabakisha maawaziri wengi waliokuwemo kipindi cha Mugabe
Pia amewapa wizara viongozi wa chama cha waliopigana vita ya ukombozi waliokuwa wakimuunga mkono wakiongozwa na Chris Mutsvangwa amepewa wizara ya habari
Mkosoaji wa serikali Tendai Biti amesema kuwa Wazimbabwe walikosea kudhani kungekuwa na mabadiliko yoyote
========================================================
Zimbabwe's new president Emmerson Mnangagwa has named his cabinet, appointing senior military figures to high-profile positions.
Mr Mnangagwa has made Sibusiso Moyo, the general who appeared on state TV after the recent military takeover, the new foreign minister.
The head of Zimbabwe's air force, Perence Shiri, was named the minister of agriculture and land affairs.
Mr Mnangagwa was sworn in last week after Robert Mugabe agreed to resign.
The man who ruled Zimbabwe for 37 years stepped down after the military intervened following the sacking of Mr Mnangagwa as vice-president.
While the new president has chosen to keep many of Mr Mugabe's former cabinet ministers in office, Mr Mnangagwa has also awarded positions to military leaders who have previously supported him.
Aside from Mr Moyo and Mr Shiri, leaders of the powerful war veterans' association, who pushed for Mr Mugabe to go after the military intervention, also got cabinet jobs.
Chris Mutsvangwa, who heads the group, is now in charge at the information ministry.
The appointments led government critic Tendai Biti to suggest that Zimbabweans were "wrong" to have hoped for change.
Perence Shiri is a figure notorious for having led the military operation against opponents of Mr Mugabe in Matabeleland in the early 1980s.
The operation resulted in the killing of an estimated 20,000 civilians.
Mnangagwa amamteua Sibuso Moyo, jenerali aliyejitokeza kwenye TV ya taifa baada ya jeshi kuingilia, kuwa waziri wa mambo ya nje
Pia amemteua kiongozi wa jeshi la anga la Zimbabwe Perence Shiri kuwa waziri wa kilimo na ardhi
Pia amewabakisha maawaziri wengi waliokuwemo kipindi cha Mugabe
Pia amewapa wizara viongozi wa chama cha waliopigana vita ya ukombozi waliokuwa wakimuunga mkono wakiongozwa na Chris Mutsvangwa amepewa wizara ya habari
Mkosoaji wa serikali Tendai Biti amesema kuwa Wazimbabwe walikosea kudhani kungekuwa na mabadiliko yoyote
========================================================
Zimbabwe's new president Emmerson Mnangagwa has named his cabinet, appointing senior military figures to high-profile positions.
Mr Mnangagwa has made Sibusiso Moyo, the general who appeared on state TV after the recent military takeover, the new foreign minister.
The head of Zimbabwe's air force, Perence Shiri, was named the minister of agriculture and land affairs.
Mr Mnangagwa was sworn in last week after Robert Mugabe agreed to resign.
The man who ruled Zimbabwe for 37 years stepped down after the military intervened following the sacking of Mr Mnangagwa as vice-president.
While the new president has chosen to keep many of Mr Mugabe's former cabinet ministers in office, Mr Mnangagwa has also awarded positions to military leaders who have previously supported him.
Aside from Mr Moyo and Mr Shiri, leaders of the powerful war veterans' association, who pushed for Mr Mugabe to go after the military intervention, also got cabinet jobs.
Chris Mutsvangwa, who heads the group, is now in charge at the information ministry.
The appointments led government critic Tendai Biti to suggest that Zimbabweans were "wrong" to have hoped for change.
Perence Shiri is a figure notorious for having led the military operation against opponents of Mr Mugabe in Matabeleland in the early 1980s.
The operation resulted in the killing of an estimated 20,000 civilians.