Ziko wapi kazi za kwenye Gesi Mtwara?

Ziko wapi kazi za kwenye Gesi Mtwara?

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,648
Reaction score
3,807
Wadau huko Mtwara kwenye gesi kuna makampuni kibao yameenda kuchimba gesi na mafuta ila ukiacha zile za TPDC mbona sijawahi kuona nafasi za kazi za hayo makampuni huko Mtwara
 
c bado wapo kwenye mchakato tunza vyeti vyako tu ulaji utakuwepo tu baadae
 
Wadau huko Mtwara kwenye gesi kuna makampuni kibao yameenda kuchimba gesi na mafuta ila ukiacha zile za tpdc mbona sijawahi kuona nafasi za kazi za hayo makampuni huko Mtwara

Una utaalamu wowote kwenye hiyo industry? Ninachojua ni kwamba makampuni mengi yanayodaka tenda huko ni Internationl companies. Na most likely wanakuwa na wataalamu wao kutoka nchi mbalimbali. So kama hatuna expertise katika hiyo sector then tutasubiri sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Una utaalamu wowote kwenye hiyo industry? Ninachojua ni kwamba makampuni mengi yanayodaka tenda huko ni Internationl companies. Na most likely wanakuwa na wataalamu wao kutoka nchi mbalimbali. So kama hatuna expertise katika hiyo sector then tutasubiri sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
Mafundi umeme na machanical watoke nje?,mbona wataalam wa fani kama hizi wamejaa tu hapa nchini?



Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Una utaalamu wowote kwenye hiyo industry? Ninachojua ni kwamba makampuni mengi yanayodaka tenda huko ni Internationl companies. Na most likely wanakuwa na wataalamu wao kutoka nchi mbalimbali. So kama hatuna expertise katika hiyo sector then tutasubiri sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Km ndo hivo bac majanga kwa sie mafreshazi
 
Hayo makampuni ya nje ni ya binafsi, so sio lazima watangaze ajira kwenye vyombo vya habari. Unaweza ukaenda na vyeti vyako wao wakaangalia kama wanakuhitaji, na ajira ukapata kimya kimya tu!
 
ajira unataka zikufuate kwenu kisiju? nenda mtwara utajua huko huko .
 
Hayo makampuni ya nje ni ya binafsi, so sio lazima watangaze ajira kwenye vyombo vya habari. Unaweza ukaenda na vyeti vyako wao wakaangalia kama wanakuhitaji, na ajira ukapata kimya kimya tu!

Hiyo nayo inataka moyo lkn, any wy tutajaribu hivyo, mapambano yanaendelea
 
Back
Top Bottom