Kuwite94
Member
- Oct 10, 2016
- 18
- 118
Usiiruhusu pesa kuwa muamuzi wa maisha yako bali wewe ndio uwe muamuzi wa maisha yako, usiruhusu pesa ikuamulie nini cha kufanya. Watu wengi pesa ndio inayo waamulia nini cha kufanya na ndio maana wanaishia kuwa maskini, wale wanaoongozwa na pesa ndio wale ambao unakuta mtu akishapata pesa anapatwa na majanga ya kila aina ili hiyo pesa iondoke kwake, kwanini? Kwa sababu pesa ina mamlaka juu yake. Pesa isikupangie nini cha kufanya bali wewe panga matumizi yako na pesa ifuate kile unachotaka kukifanya.
Pesa na mali ni watumishi walioletwa kwako ili uweze kutimiza makusudi ya kuumbwa kwako, sasa kama pesa ni mtenda kazi wa nyumbani kwako, je! Anakupangiaje nini cha kufanya? Pesa isikupangie matumizi au nini cha kufanya.
TANGAZA:
Kuanzia leo pesa isikuamulie nini cha kufanya bali wewe ndio ukaiamrishe nini cha kufanya na ikutii, matatizo yasikuamulie bali moyo wako ndio uamue nini unataka na ikawe hivyo kwako.
Pesa na mali ni watumishi walioletwa kwako ili uweze kutimiza makusudi ya kuumbwa kwako, sasa kama pesa ni mtenda kazi wa nyumbani kwako, je! Anakupangiaje nini cha kufanya? Pesa isikupangie matumizi au nini cha kufanya.
TANGAZA:
Kuanzia leo pesa isikuamulie nini cha kufanya bali wewe ndio ukaiamrishe nini cha kufanya na ikutii, matatizo yasikuamulie bali moyo wako ndio uamue nini unataka na ikawe hivyo kwako.
