Kuna vitu hapa tunavichanganya sana, Nchi kama Nchi (Tanzania) si maskini, lakini watu wake ndo maskini wakubwa, Kuna nchi kama Rwanda haina Raslimali nyngi lakini wananchi wake angalau wana maisha mazuri, Nchi kama DRC---Kongo hii ilikuwa Vitani muda mrefu sana hatuwezi kuiongelea.