Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,548
Wooote mmeorodhesha na kubandika picha za kazi zinazofanywa kwenye uchafu, lakini hapo hamna kazi chafu. Kazi chafu hasa ni hii hapa
![]()
Hapo wamelishwa ubwabwa, kiroba kimojakimoja na buku tatu ya mafuta ya pikipiki wakaona maisha bora...!!