Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,291
- 108,313
Kuzibua vyoo na mitaro ya maji machafu...
Jamaa anafanya kazi ya kushika ubao wa kulenga shabaha, jaribu kufikiria mlengaji akosee uelekeo wa risasi
Kulisha mamba...
Hawa kazi yao ni kunusa makwapa ya watu kwa ajili ya kutengeneza manukato au uturi
Huyu sijui kazi yake ni kuzalisha tembo??
Wengine kazi yao ni kukamua shahawa za wanyama...
Ushawahi kujiuliza namna daktari wa meno wa mamba afanyavyo kazi...basi muone huyu
This's one is for the road...jioni njema and adios!!
Jamaa anafanya kazi ya kushika ubao wa kulenga shabaha, jaribu kufikiria mlengaji akosee uelekeo wa risasi
Kulisha mamba...
Hawa kazi yao ni kunusa makwapa ya watu kwa ajili ya kutengeneza manukato au uturi
Huyu sijui kazi yake ni kuzalisha tembo??
Wengine kazi yao ni kukamua shahawa za wanyama...
Ushawahi kujiuliza namna daktari wa meno wa mamba afanyavyo kazi...basi muone huyu
This's one is for the road...jioni njema and adios!!