Zijue Kazi Za Ajabu Duniani...

Zijue Kazi Za Ajabu Duniani...

Watu8

Platinum Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
76,291
Reaction score
108,313
Kuzibua vyoo na mitaro ya maji machafu...

work_job_01.jpg


Jamaa anafanya kazi ya kushika ubao wa kulenga shabaha, jaribu kufikiria mlengaji akosee uelekeo wa risasi

xworst-jobs2.jpg.pagespeed.ic.0TlgZxevHE.jpg



Kulisha mamba...

job-pics-10.jpg



Hawa kazi yao ni kunusa makwapa ya watu kwa ajili ya kutengeneza manukato au uturi

4gif1269932605033-data.gif



Huyu sijui kazi yake ni kuzalisha tembo??

ElephantsButt.jpg



Wengine kazi yao ni kukamua shahawa za wanyama...

png_base6435c1cd4f2501995d.png


Ushawahi kujiuliza namna daktari wa meno wa mamba afanyavyo kazi...basi muone huyu
CrocodileDentist.jpg



This's one is for the road...jioni njema and adios!!

worst_job.jpg
 
Safi sana mkuu...ila zipo zingine pia za hatari zaidi,ili mradi riziki ipatikane.
 
Duh!na hiyo ya kulisha mamba ikitokea umetumbukia wanakuokoa au ndo walee wasiomzoea mtu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom