Kilele9
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 1,452
- 1,091
Message…habari wana jamii .nimekuwa nikisikia sifa nyingi za mmea wa mlonge ,moja wapo ni kutumika kam mboga hasa majani yake.kwa huku kwetu mwisho wa leli hizo ni kama hadidhi,wengi hatufaham ,Msaada kwa yoyote anae jua namna ya kuandaa pishi hili anisaidie niweze kujaribu c mnajua uhondo wa ngoma ...........
Mlonge unasaidia katika mwili?