ZIJUE FAIDA YA MAFUTA YA AMLA

ZIJUE FAIDA YA MAFUTA YA AMLA

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,601
Reaction score
2,460
Mafuta haya hutokana na tunda lenye asili ya India liitwalo amla. Mafuta haya yana faida nyingi mno kwa ngozi na nywele. Baadhi ya faida zake ni:

1=Hujaza nywele

2=Huzuia nywele kukatika na kuzifanya zirefuke kwa Kasi

3=Hudumisha rangi ya nywele

4=Huondoa kabisa mba na aina zote za muwasho kichwani

5=Huzuia mvi

6=Huzuia kuzeeka mapema kwa ngozi

7=Kusafisha seli na vinyweleo

8=Huondoa mabaka kwenye ngozi (vitiligo)

9=Huondoa chunusi na mashilingi, upele

10=Hutumika kufanyia massage

11=Hufanya ngozi kuwa laini na yenye kuvutia

12=Kuondoa mishipa inaonekana kwenye ngozi

13=Husaidia Kuondoa ngozi iliyochakaa na kuifanya iwe mpya

14=Huondoa upara


WhatsApp Image 2025-03-15 at 19.44.00.jpeg
WhatsApp Image 2025-03-15 at 19.44.51.jpeg


Piga 0713 039 875

Dr.Zaganza

Natural Skin Solution
 
Mimi niliwagi kuyatumia kwenye nywele, kweli zinajaa, na zinakua na rangi nzuri ya kung'aa plus kuwa laini .
LAKINI!
Harufu yake kama una roho ndogo unaeza rudisha chenchi
 
Mimi niliwagi kuyatumia kwenye nywele, kweli zinajaa, na zinakua na rangi nzuri ya kung'aa plus kuwa laini .
LAKINI!
Harufu yake kama una roho ndogo unaeza rudisha chenchi
Ongeza manukato ya vanila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom