Na vipi bodi ya mgongo wa kobejamani i hope hapo mmelewa sitojibu pm zenu zinatosha
Sema ume kopi kwenye instagram ...hivyo huna information zaidi kujibu maswali.jamani i hope hapo mmelewa sitojibu pm zenu zinatosha
mkuu vipi bei za MAN kama zile TaqwaMarcopolo Andare Class G6
Body likiwa na siti za 2x2 na AC ni tzsh mil_330,000,000/=
Ushuru tzsh mil_ 70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_400,000,000/=
Body la Andare Class siti za 2x2 bila Ac
Body ni tzsh mil _ 303,600,000/=
Ushuru ni tzsh mil_70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_376,600,000/=
Bei ya Body la Marcopolo Viaggio 1050 G7
Body likiwa na siti za 2x2 na Ac ni tzsh mil_ 347,600,000/=
Ushuru ni tzsh mil_70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_417,600,000/=
Body la Marcopolo Viaggio 1050 G7 likiwa na siti za 2x2 bila Ac ni tzsh mil_317,600,000/=
Ushuru ni tzsh mil_70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_387,600,000/=
Ac pamoja na kufungiwa ni tzsh mil_30,000,000/=
Choo unawekewa bure
Katika malipo unaweza kulipa kwa pesa taslim papo hapo (cash) au ukalipia nusu na inayobaki ikawa inalipwa kwa awamu yaani kwa Installments.
kusafirisha body kutoka Afrika kusini mpaka tanzania ni gharama ya mteja.
Marcopolo Andare Class G6
Body likiwa na siti za 2x2 na AC ni tzsh mil_330,000,000/=
Ushuru tzsh mil_ 70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_400,000,000/=
Body la Andare Class siti za 2x2 bila Ac
Body ni tzsh mil _ 303,600,000/=
Ushuru ni tzsh mil_70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_376,600,000/=
Bei ya Body la Marcopolo Viaggio 1050 G7
Body likiwa na siti za 2x2 na Ac ni tzsh mil_ 347,600,000/=
Ushuru ni tzsh mil_70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_417,600,000/=
Body la Marcopolo Viaggio 1050 G7 likiwa na siti za 2x2 bila Ac ni tzsh mil_317,600,000/=
Ushuru ni tzsh mil_70,000,000/=
Jumla ni tzsh mil_387,600,000/=
Ac pamoja na kufungiwa ni tzsh mil_30,000,000/=
Choo unawekewa bure
Katika malipo unaweza kulipa kwa pesa taslim papo hapo (cash) au ukalipia nusu na inayobaki ikawa inalipwa kwa awamu yaani kwa Installments.
kusafirisha body kutoka Afrika kusini mpaka tanzania ni gharama ya mteja.
Njoo mi nikufungie bure!Kufunga choo ni shilling ngapi?
Choo chako kimetumika sana, nahitaji chenye malindaNjoo mi nikufungie bure!
vp mkuu ulipata yutongBei za yutong zikoje nazo boss....naskia ni cheap kidogo