Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,884
- 3,910
Iko vizuri sana,hasa kwa wale wanaosafiri kufunga home inafaaa,harafu unamwambia mkeo hii ni taaa ya emergency
Sana mkuu umetoa elimu tosha,sasa unatambua aje fake na original na pia unatambuaje ubora wa camera?Mafundi wengi hufunga camera ya ambayo ni ya kawaida ila wanakupga hela ya juu
Unawezaka Mkuu ni wew tuMkuu nauliza tu; Nikitaka kuweka kamera kwenye makazi yangu, kwa ajili ya ulinzi wa kujilinda mwenyewe pande zote nne za nyumba, niweze kuamshwa ajapo mtukaribu na nyumba (tuseme mwizi) niamshwe (alerted) yawezekana nijue yupo upande gani?? Itaweza kuwa ka kiasi gani? Gharama ya juu na chini pia.
Ndio inawezaka kuilink na Network/IP cameraNime-install icamspy kwenye simu ni nzuri, je mleta mada kuna namna naweza kui link na mojawapo ya CCTV camera hapo juu?
Nitakutafuta aiseeee, thank you very much, nahitaji sana sana ulinzi wa nyumbani kwanguNdio inawezaka kuilink na Network/IP camera
Karibu sana.Nitakutafuta aiseeee, thank you very much, nahitaji sana sana ulinzi wa nyumbani kwangu
Inapatikana mkuu na ikafichwa kiasi kwamba mtu asigundue kama kuna kamera mahara fulani inarekodiNingependelea ambayo ni very small (spying camera)