Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,279
Mwenyekiti uko vizuri🤣🤣Piga chini mke mwenye kero, ishi na dada ako....
Mwenyekiti uko vizuri🤣🤣Piga chini mke mwenye kero, ishi na dada ako....
Teeeh!!🤣🤣Ndioooooo.
Nakuja PM mkuu,😜Mie namba 10 mie sio mjuaji wala nini?? I hope mume mtarajiwa kaona hilo ndio maana kasettle nakawa anaamani. Na furaha . Cc wakina haule cc: Leejay49
Hata usemeje wewe ni mnafiki ukiacha tu unafiki utapata mchumba mzuri ila ukiendeleza hii tabia basi ni mbyaEwaaaah!! 🤣🤣🤣🤣
Kunywa soda kwa hela yako da Mau hujakosea kabisa, ushaanza kupona zile dawa zimeanza kufanya kazi ongeza bidii.!!
🤣🤣🤣 Oyoooooo!! Da mau kaanza kupona anaongea ukweli tupuHata usemeje wewe ni mnafiki ukiacha tu unafiki utapata mchumba mzuri ila ukiendeleza hii tabia basi ni mbya
🤣🤣🤣 unataka kusemaje?Teeeh!!🤣🤣
Sijawahi kupiga mtu kabisa, sembuse mwanamke.5. MKE MGONJWA (Sick wife)
Hawa muda wote ni wachovu na wanyonge, utasikia akilalamika kuumwa mara hiki mara kile huku hawaendi hospitali. Na wana lawama kama nini usiombe ukutane naye utajuta.
Wife material wangu😘🤣🤣🤣 unataka kusemaje?
Namba 10 huwa hawana bahati na wanaume waelewa mara nyingi wanaolewa na vijamaa vicheche balaa,ngumu mkononi,wababe w
Jamaa una bahati sana sie wengine hadi baa wanatufuata yan balaa tupu yan kuoa imekua shida aisee wife alikuja segerea stendi kuna klabu ipo kwenye mlango wa kuingilia daladala kwa pembeni hivi alimwaga bia zangu zooote,washkaji walishangaa,alinidharirisha sana...Wale wenzangu na miye hadi Kifo kitutenganishe tuendelee kunywa mtori .....🤗
Daaah mie wangu aisee ni mseto.1. MKE SHEREHE (party wife)
Hawa muda wote wanawaza sherehe na starehe tu, utawasikia kesho sendoff, birthday, graduation, mara kitchen party. Wako tayari kutumia hela ya chakula kwa ajili ya kununua viwalo, vipodozi, kutengeneza nywele, kuchangia sherehe.
2. MKE KAMUSI (dictionary wife)
Hawa ni aina ya wanawake ambao huamini mawazo yao tu huwa hawapendi kushauriwa na ni wabishi sana, huwa hawajali hata mume wake anasema nini.
3. MKE PAMPAS (pampas wife)
Hawa ni wavivu sana na wameharibiwa na familia zao, hasa familia tajiri, hawawezi fanya kazi yoyote wanatuma hovyo hata waume zao utasikia baby nipe hicho, baby njoo unitolee hiki. Kama kuna house girl au boy ni zaid ya punda kwao.
4. MKE OFISI (The office wife)
Hawa husahau kabisa majukumu yao kwa kisingizio cha kazi, wanajifanya kuwa bize muda wote na majukumu ya kiofisi kuliko hata familia au waume zao mara nyingi hawa wanaibiwaga waume zao na ma'house girls.
5. MKE MGONJWA (Sick wife)
Hawa muda wote ni wachovu na wanyonge, utasikia akilalamika kuumwa mara hiki mara kile huku hawaendi hospitali. Na wana lawama kama nini usiombe ukutane naye utajuta.
6. MKE MWALIMU MKUU (Headmistress)
Hawa hugeuka viranja ndani ya familia hata mbele ya mume wake anajifanya muelekezi mkuu na huuliza maswali kwanini hii hivi mara hicho hivyo pasipo kujali kuna nani hata kama kuna mgeni.
7. MKE NGUMI (Fighting wife)
Hawa muda wote ni wavarangati, na akiamua kulianzisha huwa hawaangaliii mazingira na ataongea bila mipaka na kama unaishi uswahilini kila jirani lazma atajua kimenuka, yuko radhi kukunjana na mume wake.
8. MKE NDOO YA TAKA (Dustbin wife)
Hawa huwa wachafu kupita kiasi hawajali hiki cha thamani au laa, utamkuta mchafu muda wote ni mara chache kutokelezea labda kwenye sherehe. Mara nyingi waume zao wanawakinai mapema
9. MKE MLINZI (protective wife)
Hawa huwabana waume zao mpaka kero, hujifanya wana wivu, wanawaona wanawake wote kama maadui na hawataki hata kuona rafiki yake akiwa karibu na mumewe. Anahisi anaibiwa ukirudi nyumbani badala ya kupokea mzigo mkononi anakupokea simu ilioyoko mfukoni.
10. MKE MZURI (Agood wife)
Hawa ndo wale walioandikwa kwenye vitabu vya dini. Hawa ni wapole wanyenyekevu, wasikivu hata kama amekosewa anatumia busara kumaliza matatizo yao. Wana mapenzi ya dhati, ni walezi wazuri na wanajua maana ya upendo kwa waume na familia zao.
Swali langu kwako:
Je wewe ni namba ngapi?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
7,kubamizana,1. MKE SHEREHE (party wife)
Hawa muda wote wanawaza sherehe na starehe tu, utawasikia kesho sendoff, birthday, graduation, mara kitchen party. Wako tayari kutumia hela ya chakula kwa ajili ya kununua viwalo, vipodozi, kutengeneza nywele, kuchangia sherehe.
2. MKE KAMUSI (dictionary wife)
Hawa ni aina ya wanawake ambao huamini mawazo yao tu huwa hawapendi kushauriwa na ni wabishi sana, huwa hawajali hata mume wake anasema nini.
3. MKE PAMPAS (pampas wife)
Hawa ni wavivu sana na wameharibiwa na familia zao, hasa familia tajiri, hawawezi fanya kazi yoyote wanatuma hovyo hata waume zao utasikia baby nipe hicho, baby njoo unitolee hiki. Kama kuna house girl au boy ni zaid ya punda kwao.
4. MKE OFISI (The office wife)
Hawa husahau kabisa majukumu yao kwa kisingizio cha kazi, wanajifanya kuwa bize muda wote na majukumu ya kiofisi kuliko hata familia au waume zao mara nyingi hawa wanaibiwaga waume zao na ma'house girls.
5. MKE MGONJWA (Sick wife)
Hawa muda wote ni wachovu na wanyonge, utasikia akilalamika kuumwa mara hiki mara kile huku hawaendi hospitali. Na wana lawama kama nini usiombe ukutane naye utajuta.
6. MKE MWALIMU MKUU (Headmistress)
Hawa hugeuka viranja ndani ya familia hata mbele ya mume wake anajifanya muelekezi mkuu na huuliza maswali kwanini hii hivi mara hicho hivyo pasipo kujali kuna nani hata kama kuna mgeni.
7. MKE NGUMI (Fighting wife)
Hawa muda wote ni wavarangati, na akiamua kulianzisha huwa hawaangaliii mazingira na ataongea bila mipaka na kama unaishi uswahilini kila jirani lazma atajua kimenuka, yuko radhi kukunjana na mume wake.
8. MKE NDOO YA TAKA (Dustbin wife)
Hawa huwa wachafu kupita kiasi hawajali hiki cha thamani au laa, utamkuta mchafu muda wote ni mara chache kutokelezea labda kwenye sherehe. Mara nyingi waume zao wanawakinai mapema
9. MKE MLINZI (protective wife)
Hawa huwabana waume zao mpaka kero, hujifanya wana wivu, wanawaona wanawake wote kama maadui na hawataki hata kuona rafiki yake akiwa karibu na mumewe. Anahisi anaibiwa ukirudi nyumbani badala ya kupokea mzigo mkononi anakupokea simu ilioyoko mfukoni.
10. MKE MZURI (Agood wife)
Hawa ndo wale walioandikwa kwenye vitabu vya dini. Hawa ni wapole wanyenyekevu, wasikivu hata kama amekosewa anatumia busara kumaliza matatizo yao. Wana mapenzi ya dhati, ni walezi wazuri na wanajua maana ya upendo kwa waume na familia zao.
Swali langu kwako:
Je wewe ni namba ngapi?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
7,kubamizana1. MKE SHEREHE (party wife)
Hawa muda wote wanawaza sherehe na starehe tu, utawasikia kesho sendoff, birthday, graduation, mara kitchen party. Wako tayari kutumia hela ya chakula kwa ajili ya kununua viwalo, vipodozi, kutengeneza nywele, kuchangia sherehe.
2. MKE KAMUSI (dictionary wife)
Hawa ni aina ya wanawake ambao huamini mawazo yao tu huwa hawapendi kushauriwa na ni wabishi sana, huwa hawajali hata mume wake anasema nini.
3. MKE PAMPAS (pampas wife)
Hawa ni wavivu sana na wameharibiwa na familia zao, hasa familia tajiri, hawawezi fanya kazi yoyote wanatuma hovyo hata waume zao utasikia baby nipe hicho, baby njoo unitolee hiki. Kama kuna house girl au boy ni zaid ya punda kwao.
4. MKE OFISI (The office wife)
Hawa husahau kabisa majukumu yao kwa kisingizio cha kazi, wanajifanya kuwa bize muda wote na majukumu ya kiofisi kuliko hata familia au waume zao mara nyingi hawa wanaibiwaga waume zao na ma'house girls.
5. MKE MGONJWA (Sick wife)
Hawa muda wote ni wachovu na wanyonge, utasikia akilalamika kuumwa mara hiki mara kile huku hawaendi hospitali. Na wana lawama kama nini usiombe ukutane naye utajuta.
6. MKE MWALIMU MKUU (Headmistress)
Hawa hugeuka viranja ndani ya familia hata mbele ya mume wake anajifanya muelekezi mkuu na huuliza maswali kwanini hii hivi mara hicho hivyo pasipo kujali kuna nani hata kama kuna mgeni.
7. MKE NGUMI (Fighting wife)
Hawa muda wote ni wavarangati, na akiamua kulianzisha huwa hawaangaliii mazingira na ataongea bila mipaka na kama unaishi uswahilini kila jirani lazma atajua kimenuka, yuko radhi kukunjana na mume wake.
8. MKE NDOO YA TAKA (Dustbin wife)
Hawa huwa wachafu kupita kiasi hawajali hiki cha thamani au laa, utamkuta mchafu muda wote ni mara chache kutokelezea labda kwenye sherehe. Mara nyingi waume zao wanawakinai mapema
9. MKE MLINZI (protective wife)
Hawa huwabana waume zao mpaka kero, hujifanya wana wivu, wanawaona wanawake wote kama maadui na hawataki hata kuona rafiki yake akiwa karibu na mumewe. Anahisi anaibiwa ukirudi nyumbani badala ya kupokea mzigo mkononi anakupokea simu ilioyoko mfukoni.
10. MKE MZURI (Agood wife)
Hawa ndo wale walioandikwa kwenye vitabu vya dini. Hawa ni wapole wanyenyekevu, wasikivu hata kama amekosewa anatumia busara kumaliza matatizo yao. Wana mapenzi ya dhati, ni walezi wazuri na wanajua maana ya upendo kwa waume na familia zao.
Swali langu kwako:
Je wewe ni namba ngapi?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Ya kweli hayoo!!??Mie namba 10 mie sio mjuaji wala nini?? I hope mume mtarajiwa kaona hilo ndio maana kasettle nakawa anaamani. Na furaha . Cc wakina haule cc: Leejay49
Dada hawezi kukupa full service bhana.Ya nini kuteseka roho 😀, wakati dada zako wapo watakutreat goood hadi unenepe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂Namba mbili ndio ninae mimi Sasa hivi niko kipindi cha mwisho soon napiga chini taa ishaanza ku-blink
Aisee ni wabishi balaa namba hii,wajuaji haaa haaa kakutana na master haamini nampeleka ki-Mr.Bean
View attachment 2936100
Kuna jamaa kaanzisha ubishi na mimi akidai siku hizi hakuna wake bora/wazuri yaani wife material. Kanitamkia kabisa nikipata wife material nimuite mbwa. Kwenye hii orodha wake wabovu ni hao wachafu, wagomvi, wagonjwa ila huyu wa ofisini dawa yake ni kumtafutia mke mbadala ashike adabu zake







yamekuwa hayo tena?Baa gani mkuu The Great nini?Jamaa una bahati sana sie wengine hadi baa wanatufuata yan balaa tupu yan kuoa imekua shida aisee wife alikuja barakuda stendi kuna klabu ipo kwenye mlango wa kuingilia daladala kwa pembeni hivi alimwaga bia zangu zooote,washkaji walishangaa,alinidharirisha sana...