Zifahamu taratibu za uuzaji wa hisa

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
0001-16160516741_20210129_152758_0000.png


Mwekezaji anayetaka kuuza hisa atafuata taratibu zifuatazo:

Wasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kuuza hisa

Kabidhi hati yako ya umiliki wa hisa kwa dalali. Dalali atahakiki umiliki wa hisa hizo kabla ya kuuza

Kama hisa haziko kwenye hifadhi ya hisa, dalali ataziweka kwenye hifadhi kabla ya kuuza

Dalali ataweka oda yako ya kuuza hisa kwenye mfumo wa kompyuta wa soko la hisa akitumia namba maalum ya mteja.

Iwapo bei unayotaka kuuzia hisa itafanana na bei ya mwekezaji mwingine anayetaka kununua, basi atakuwa amekuuzia hisa hizo na mwekezaji atalipwa.
 
View attachment 1689081

Mwekezaji anayetaka kuuza hisa atafuata taratibu zifuatazo:

Wasiliana na dalali wa soko la hisa na kumweleza kusudio lako la kuuza hisa

Kabidhi hati yako ya umiliki wa hisa kwa dalali. Dalali atahakiki umiliki wa hisa hizo kabla ya kuuza

Kama hisa haziko kwenye hifadhi ya hisa, dalali ataziweka kwenye hifadhi kabla ya kuuza

Dalali ataweka oda yako ya kuuza hisa kwenye mfumo wa kompyuta wa soko la hisa akitumia namba maalum ya mteja.

Iwapo bei unayotaka kuuzia hisa itafanana na bei ya mwekezaji mwingine anayetaka kununua, basi atakuwa amekuuzia hisa hizo na mwekezaji atalipwa.
Watu wengi hawajui madali wa DSE wapo wapi na wanapatikanaje aidha kwa simu au email. Kama inawezekana ungewawekea ili wajue wapi pa kuwapata madalali wanaouza hisa.

Pia siyo vibaya ukaeleza ni vipi mwananchi anaweza kununua hisa soko la DSE kama hisa hazipo kwenye IPO. Asante
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom